Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,080
- 2,871
Habari wadau wa jukwaa muhimu Sana kuliko yote maana afya ni mtaji.naenda moja kwa moja kwenye juzi tu nilikuwa nasikia mwili kuuma hasa joints baridi,mwili kuchemka hasa ikabidi niende dispensary kucheki malaria lakini nikaambiwa huna malaria zaidi nikapewa dawa za kutuliza maumivu na dawa za minyoo labda ndo inaweza ikawa sababu ya kukosa hamu ya kula. Lakini hadi sasa Hali inazidi kuwa mbaya zaidi hasa nikisikia tu harufu ya chakula au kuweka tonge mdomoni lazima nihisi kutapika sasa yaani nko dilemma sijui tatizo ni Nini.