Nahisi Diamond na Kiba wametuchezea mind game

Hakuna
Exactly..this is it...huu wimbo kiba alikua keshatunga...so diamond kumuita kipusa ni ktk kuja kunogesha wimbo..
Hawa watu hawana bifu la kizembe km shabiki wanavyo likuza...
bifu lipo...kamuita Kipusa baada ya kutukanwa na Alikiba. Kila MTU alijua ally anatoa kipusa
 
Pata pipi kwa mangi hapo nitalipa,umeelewa sana ninachokiona
 


Yaani wewe siku zote bado ulikuwa hujuwi tu.....?
 
Verse ya alikiba anaposema wananiita kipusa ameisikia lini kuitwa kipusa akaiingiza fasta kwenye nyimbo?kaitwa kipusa jana leo anaachia wimbo eti wananiita kipusa,hawa majamaa wanajua wanachofanya
 
Kama kweli bifu limetengenezwa itakua ommy hakushirikishwa alipanic kivyake bila kujua mchezo aibu sana kwake
Exactly..this is it...huu wimbo kiba alikua keshatunga...so diamond kumuita kipusa ni ktk kuja kunogesha wimbo..
Hawa watu hawana bifu la kizembe km shabiki wanavyo likuza...
 
Nadhani wakishakuwa wazee watakuja kutufumbulia haya mafumbo ya conspiracy theory
 
Naisi mawazo yako hayajapishana na yangu...hawa madogo wahuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Verse ya alikiba anaposema wananiita kipusa ameisikia lini kuitwa kipusa akaiingiza fasta kwenye nyimbo?kaitwa kipusa jana leo anaachia wimbo eti wananiita kipusa,hawa majamaa wanajua wanachofanya
Hiyo kipusa Alikiba alikuwa ameshaiandika Insta wiki 2 kabla hajaachia wimbo, kwani kutunga kale kaverse kanacost muda kiasi gani, kama mwandishi mzuri kata lisaa haliishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…