I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
-Matatizo ndio mlo wangu kila siku,
-Pesa hazikamatiki,
-Maisha yananizidi kimo,
-Nafukuzwa kila mahali na migambo wa jiji sifanyi biashara zangu kwa amani, eti nachafua jiji,
-Maji shida,
-Umeme shida,
-Hata ugaidi nasingiziwa mwenzenu,
-Mama nae hata shida zangu hanisikilizi tena, wengine wakimpamba kuwa naupiga mwingi,
- Bora hata baba alivyokuwepo nilitatuliwa matatizo papo kwa papo, lakini saivi mama hata nyumbani hakai tena vile vikao tulivyokuwa tunafanya hata ndani saivi tunafukuzwa kama wahalifu.
-Nina mengi ya kusimulia naogopa nisije kuitwa mchochezi
Diamond, Diamond kwani nimekukosea nini kunifitini hivi?
Thread hii kwa hisani ya: Harmonize
-Pesa hazikamatiki,
-Maisha yananizidi kimo,
-Nafukuzwa kila mahali na migambo wa jiji sifanyi biashara zangu kwa amani, eti nachafua jiji,
-Maji shida,
-Umeme shida,
-Hata ugaidi nasingiziwa mwenzenu,
-Mama nae hata shida zangu hanisikilizi tena, wengine wakimpamba kuwa naupiga mwingi,
- Bora hata baba alivyokuwepo nilitatuliwa matatizo papo kwa papo, lakini saivi mama hata nyumbani hakai tena vile vikao tulivyokuwa tunafanya hata ndani saivi tunafukuzwa kama wahalifu.
-Nina mengi ya kusimulia naogopa nisije kuitwa mchochezi
Diamond, Diamond kwani nimekukosea nini kunifitini hivi?
Thread hii kwa hisani ya: Harmonize