Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Jan 19, 2016 #21 Tatemahunda said: lakini hofu yangu mkuu ni kwamba kuna mtu alisema hawa microfilareae (sina hakika kama nimepatia), alisema kama wakiwa adult kuna uwezekano wasionekane kwenye microscope, ndo napata hofu sasa.. Click to expand... Wewe kama umemaliza vipimo vya Hospitali na havionyeshi kuwa una maradhi jitibie kwa tiba za mbadala utapona usihangaike sana.
Tatemahunda said: lakini hofu yangu mkuu ni kwamba kuna mtu alisema hawa microfilareae (sina hakika kama nimepatia), alisema kama wakiwa adult kuna uwezekano wasionekane kwenye microscope, ndo napata hofu sasa.. Click to expand... Wewe kama umemaliza vipimo vya Hospitali na havionyeshi kuwa una maradhi jitibie kwa tiba za mbadala utapona usihangaike sana.
kat.ph JF-Expert Member Joined Dec 19, 2013 Posts 2,222 Reaction score 1,678 Jan 19, 2016 #22 Nenda hospital tofautitofauti hata tatu au nne kujiridhisha
T Tatemahunda JF-Expert Member Joined Sep 14, 2013 Posts 232 Reaction score 91 Jan 19, 2016 Thread starter #23 kat.ph said: Nenda hospital tofautitofauti hata tatu au nne kujiridhisha Click to expand... Sawa mkuu, nitajaribu kufanya hivyo.
kat.ph said: Nenda hospital tofautitofauti hata tatu au nne kujiridhisha Click to expand... Sawa mkuu, nitajaribu kufanya hivyo.