Nahisi Hii tozo inatumika kuendesha Klabu ya Singida Big Starz

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
Tumeona usajili ambao Timu Hii imefanya, na sote tunajua gharama za kulipa mishahara wachezaji kaliba ya akina Kagere, Wawa, na mastaa wengine!

Basi Jana usiku nikawaza kuwa Hii Timu ya Singida Big stars ni Sisi ndio tunaitunza kupitia hizi tozo..

Kwa wale mliosoma Cuba mmeelewa
N.b tukoment haraka haraka kabla Uzi haujafutwa
 
Na wewe anzisha timu yako uendeshe kwa tozo.
 
Ile timu ni Singida big stars company limited na tayari inajenga uwanja wake wa mazoezi, kwa nini iwe nongwa sana wakati kuna timu Namungo ya Ruangwa hapajawa na kejelikejeli tangu hiyo timu ianzishwe? Yeyote mwenye ushawishi kwenye michezo anaweza kushawishi uanzishwaji wa timu ya mchezo anaoshabikia maadamu sheria na taratibu zake zinafuata. Kwa kuwa yule jamaa ni kiongozi mtukuka ndio imekuwa nongwa
 
Kama kuna kaukweli vile ndani yake. Maana kipindi kile akiwa Waziri wa mambo ya ndani, Singida United ilikuwa ni motobwa kuotea mbali! Alipotumbuliwa, timu ikapotelea kusiko julikana!

Sasa hivi tena ni Waziri, tena wa Wizara nyeti! Mambo ni yale yale! Siku akitumbuliwa (labda na Mwenyezi Mungu, ila siyo yule bibi), utashangaa hii timu inapotea tena!!!!

Haya maajabu yanapatikana katika nchi ya Tozonia pekee.
 
Hata penalty zenyewe za mchongo Ila timu kubwa zijiandae kisaikolojia maana angekuwa Simba au yanga ndo kapigwa Lile goli kwa jinsi ninavyoifahamu mbeya City either zingeopigwa au kuambulia sare Ila Sasa wao wamepata ushindi mkienda either Simba or yanga msiende Na matokeo yenu mfukoni
 
Siku Mr Tozo akisimamishwa na timu ndio bye bye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…