Nahisi huyu mwanamke nyota yake inaning’arisha

Nahisi huyu mwanamke nyota yake inaning’arisha

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Pamoja na mabadiliko ya life style kubadilika kutokana na vimbwanga vya huyu mwanamke vidogo vidogo lakin kuna kitu kipo tofauti.

Tangu nimemuoa naona Kanyota kana ng’aa aisee Riziki inaonekana.Vimichongo vimeongezeka had nashangaa!!
Nahisi huyu mwanamke amekuja na nyooota..

Kipindi naoa Sikua na kazi sijaajiriwa lakini nikasema naoa ivo ivo.Maana hata nikiwa na kazi tofauti hata siioni.

Watu walishangaa sana.Lakini naona tangu nimuweke ndani pilika pilika za michongo hazibanduki na wanaonipa michongo hata sikuwategemea
 
Pamoja na mabadiliko ya life style kubadilika kutokana na vimbwanga vya huyu mwanamke vidogo vidogo lakin kuna kitu kipo tofauti.

Tangu nimemuoa naona Kanyota kana ng’aa aisee Riziki inaonekana.Vimichongo vimeongezeka had nashangaa!!
Nahisi huyu mwanamke amekuja na nyooota..
Mtunze nawe utazidi kung'aa
 
Kikawaida mfumo wa maisha upo connected with universe

Unapokuwa Giver lazima Baadhi ya mambo yabadilike.

Sasa ukiweka dhamiri ya kusaidia in positive way mambo hubadilika .

Nikwambie hakuna MTU analeta kitu isipokuwa hicho kitu kipo ndani yako .
 
vp wale wanaokosa kabisa na wapo na wake pia



Kuwa na Good conscience , then connect in universe and be a giver

Mambo pia Ku-stuck au kustumble
Yanaweza sababishwa na external factors

Mfano universe ikiwa upande wako Ila ukashindwa kuwa stable in financial management, Good Relationship , saving and focus unaweza kukwama

Success is depend on nature (universe) plus being informative
 
Pamoja na mabadiliko ya life style kubadilika kutokana na vimbwanga vya huyu mwanamke vidogo vidogo lakin kuna kitu kipo tofauti.

Tangu nimemuoa naona Kanyota kana ng’aa aisee Riziki inaonekana.Vimichongo vimeongezeka had nashangaa!!
Nahisi huyu mwanamke amekuja na nyooota..

Kipindi naoa Sikua na kazi sijaajiriwa lakini nikasema naoa ivo ivo.Maana hata nikiwa na kazi tofauti hata siioni.

Watu walishangaa sana.Lakini naona tangu nimuweke ndani pilika pilika za michongo hazibanduki na wanaonipa michongo hata sikuwategemea
...vimbwanga vidogo vidogo vya huyu mwanamke..., riziki inaonekana tangu nimemwoa..., hadi nashangaa...

Yapo mambo mawili hapo:

1. Kuna vimbwanga vya mkeo
2. Riziki imeongezeka tangu umuoe

Ni shauri yako mwenyewe lakini basi mimi nasema kutoka rohoni waweza kutupilia mbali haya. Kuwa makini na mkeo... ndio yeye ni chanzo cha riziki kuongezeka lakini unajua kwa vipi? Ni jambo gumu lakini tafuta ni kwa vp.
 
...vimbwanga vidogo vidogo vya huyu mwanamke..., riziki inaonekana tangu nimemwoa..., hadi nashangaa...

Yapo mambo mawili hapo:

1. Kuna vimbwanga vya mkeo
2. Riziki imeongezeka tangu umuoe

Ni shauri yako mwenyewe lakini basi mimi nasema kutoka rohoni waweza kutupilia mbali haya. Kuwa makini na mkeo... ndio yeye ni chanzo cha riziki kuongezeka lakini unajua kwa vipi? Ni jambo gumu lakini tafuta ni kwa vp.
Ebu nieleze mkuu
 
Riziki imeongezeka kivipi kutoka kwa mkeo? Je ni mfanyabiashara mahiri? Au ni mwajiriwa? Labda ana mawazo mazuri ya utafitaji? Kama hana hayo mambo na riziki imeongezeka je ni kwa njia gani? Chunguza nguvu zake. Hakuna jambo linakotokea bila sababu.
Nyota..yaani ule utukufu wa Mungu utokao juu...riziki.
 
Riziki imeongezeka kivipi kutoka kwa mkeo? Je ni mfanyabiashara mahiri? Au ni mwajiriwa? Labda ana mawazo mazuri ya utafitaji? Kama hana hayo mambo na riziki imeongezeka je ni kwa njia gani? Chunguza nguvu zake. Hakuna jambo linakotokea bila sababu.
Tangu niwe naye napata michongo mingi
 
Huo ndio utamu wa ndoa, pale mwanzo unapoingia.
 
Back
Top Bottom