Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Umeshakula tunda lakin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema sijamdhuru mtuhizi zamchana kabisa maana nimaneno soft soft
SI ndiyo macho yanaongea wabasema waswahili.Wazee wa kuhukumu kwa macho
Kuna jamii binamu analiwa, pengine huo udugu wao hauna mashiko.Mkuu picha yao ya moja kwa moja ni ngumu
Wewe zingatia hii picha ya maandishi
Demu wangu anafanana na huyo mwanaume kiasi cha hauwezi kukataa, ila mtoto kafanana sana na demu wangu na pia kafanana na huyu mwanaume pia
Shida ni kwamba ka kweli ni kaka yake kwanini waigize mapenzi na waigize ni mke na mume. Nitajuaje kama waigiza au ni kweli na kwanini ni mkataze demu wangu kuwa sitaki huu mchezo ila bado anarudia hataki kuacha?
Yah! Nmeshamshauri tayar kua uyo mwamba alopostiwa aonane nae,Mkuu DeepPond, umesema chochote juu ya kijana huyu?
Kijana anapitia kipindi kigumu. Ngoja tusubiri mrejesho wakati jamaa anachanganya na zake.Yah! Nmeshamshauri tayar kua uyo mwamba alopostiwa aonane nae,
Maana mtu anaejijua anakula MKE wa mtu ata umuwekee Nini ili akaonane na mwenye mke, hawezi kuja kujipeleka machinjioni.
Na asipokuja, ajue Ni kweli Ni bwana ake
Mtu na kakake sidhani!
Wachache sana ila katika wa chache kunawengine wanapelekeshwa na mapenzi, kama unabisha nenda mjini kaangalie wanaume wanavyo pelekeshwaWanaume tumebaki wachache
Upo sahihi kakaWachache sana ila katika wa chache kunawengine wanapelekeshwa na mapenzi, kama unabisha nenda mjini kaangalie wanaume wanavyo pelekeshwa