Nahisi kaka yake ndiye mpenzi wa demu wangu

Kuna jamii binamu analiwa, pengine huo udugu wao hauna mashiko.
Pia kuna jamii watu wake hufananafanana pengine hawana udugu wowote basi tu wamefanana na kupendana.

Ila niseme tu mtoto ni huyo Bro kweli si rahisi mwanamke kumkana mtoto wake tena wa ujanani ikiwa anaiva vuzuri na mzazi mwenzie hata kwako asingefika.
 
Yah! Nmeshamshauri tayar kua uyo mwamba alopostiwa aonane nae,

Maana mtu anaejijua anakula MKE wa mtu ata umuwekee Nini ili akaonane na mwenye mke, hawezi kuja kujipeleka machinjioni.

Na asipokuja, ajue Ni kweli Ni bwana ake
Kijana anapitia kipindi kigumu. Ngoja tusubiri mrejesho wakati jamaa anachanganya na zake.
 
Atakuwa binamu yake huyo. Ndo maana unaona mfanano, by the way binamu nyama ya hamu kwa kabila zingine.
 
Yanatombana hayo siku hizi maadili hamna wazazi wengi wa kiume wanakula watoto waliowazaa nje KIMBIA mapema dogo yaani penzini muwe wawili kupostiwa na vi imoji vya mapenzi awekewe kaka yake HUSTUKI TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…