Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Ni kweli unalogwa na anaekuloga ni yule ambae anajidai kila siku anataka kujua unaendeleaje anafanya hivyo makusudi ili ajue maendeleo yako na akiona una nafuu anaenda kukupiga spana zingine, hii yote inatokana na tabia yako ya kueleza watu mafanikio yako au malengo yako mazuri uliyo nayo.
Binadam ili ufanikiwe ni lazima uwe na Siri na ndo maana hata serekali inatunza sana Siri zake, haifai kueleza watu malengo yako mazuri uliyo nayo yafaa tu waone tayari ulisha fanikisha lengo lako ila ukiwaeleza mapema n lazma watakutengenezea fitna, matatizo ili ukwame usifikie malengo yako au usiyafurahie mafanikio yako uliyo yaweka wazi mbele yao.
Kila nikikuangalia naona una hali mbaya sana leta kuku, mchele, nazi na mafuta ya alizet na Tsh 20k kwa ajili ya sadaka ya wazee ili tukubitu
Zingatia: usiwahi kumuamini mtu yoyote hata Mimi usiniamin yachukue yanayo faa yatakusaidia na yasiyo faa achana nayo kwakua kila binadam ameumbwa na akili.
Binadam ili ufanikiwe ni lazima uwe na Siri na ndo maana hata serekali inatunza sana Siri zake, haifai kueleza watu malengo yako mazuri uliyo nayo yafaa tu waone tayari ulisha fanikisha lengo lako ila ukiwaeleza mapema n lazma watakutengenezea fitna, matatizo ili ukwame usifikie malengo yako au usiyafurahie mafanikio yako uliyo yaweka wazi mbele yao.
Kila nikikuangalia naona una hali mbaya sana leta kuku, mchele, nazi na mafuta ya alizet na Tsh 20k kwa ajili ya sadaka ya wazee ili tukubitu
Zingatia: usiwahi kumuamini mtu yoyote hata Mimi usiniamin yachukue yanayo faa yatakusaidia na yasiyo faa achana nayo kwakua kila binadam ameumbwa na akili.