ranicta nicta
Member
- May 24, 2013
- 60
- 20
Hapa nilipo sijielewi elewi hatima yangu kwenda chuo kutokana na ucheleweshaji wa majibu tuliomba kuhama chuo kwani sijui mambo yakoje tcu na chuo nilichohama kinakaribia kumaliza mwezi tangu kifungue nimeomba kuhamia Udom atakaeona majina ya Udom yametolewa anijulishe jamani naishi kwa matumaini kila ichapo leo
Kwani unaenda UDOM kusoma facult gani?
huu uzi kama haukuhuso si lazima uchangie hujui ni jinsi kani tunavyoumia moyoni jiheshimHizi habari tumezichoka humu. Kaandikeni huu upuuzi wenu kwenye website ya TCU au hamna access ya kuandika huu uzombi kule?!
huu uzi kama haukuhuso si lazima uchangie hujui ni jinsi kani tunavyoumia moyoni jiheshim
ndugu majina YAMETUMWA VVUONI.WAPIGIE SIMU WATAKUAMBIA KAMA UPO.MI MWENYEWE NIMEMWANGALIZIA RAFK ANGU.KWA KUPIGA SIMU
niliunganisha lakini hakuna kituwebsite ya TCU ina contact zote, Afterall kuna zaidi ya thredi 1000 za aina hii, kwanini hukuunganisha huko?
Samahan mkubwa,namba zao tunazipataje..mi nimeomba transfer ya st Joseph-Songea,kama unaweza nisaidie mawasiliano yao