ranicta nicta
Member
- May 24, 2013
- 60
- 20
Hapa nilipo sijielewi elewi hatima yangu kwenda chuo kutokana na ucheleweshaji wa majibu tuliomba kuhama chuo kwani sijui mambo yakoje tcu na chuo nilichohama kinakaribia kumaliza mwezi tangu kifungue nimeomba kuhamia Udom atakaeona majina ya Udom yametolewa anijulishe jamani naishi kwa matumaini kila ichapo leo