Nahisi kufa nahitaji msaada wa haraka

Folk Part II

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
419
Reaction score
490
Ndugu zanguni naumwa sana na spinal cord (hiki ni kinyama kinachofunikwa na uti wa mgongo upande wa nyuma kinaanzia shingoni hadi kiunoni)

Mimi panaponiuma sehemu mkabara na kifua (maumivu kama kidonda kimewekwa pilipili au nachomwa na moto pamoja na misuli kukaza iyo sehemu had mabegani)

Naomba kuuliza kuna mtu au ulimsikia amewahi kuumwa SPINAL TB (TB ya mgongo (ungwe mgongo) au spinal kushambuliwa na fangas?

Naomba msaada wa mawazo.

Nawasilisha.


 
Amka na ujiandae kisha nenda hospitali.
Ugua pole na utapona mkuu.
Nimeenda sana mkuu et hawaon tatizo x ray, ct scan na mri nimepigwa sana bado hawakuona tatizo ndo mana natafta mtu alie pitia hali kama yangu

Ahsante kwa ushauri wako ntaendelea kwenda hospitalin nisipokufa hiv karibun
 
Upo wapi? Nenda Ikonda utakuja kunishukuru
Nipo songwe mkuu ikonda ilikuwa planned but the same runner wa hili tatizo alienda hawakuona kitu apa inabidi niwe na dakitar atakayenifanyia mavipimo tofauti na nilivyofanya maana vingi huwa vinarudia ukileta kuwashauri wakufanyie kingine watakwambia wewe ni dakitar au unanifundisha kaz kama ndo ivo bas jitibu, nawaombea msije umwa magonjwa kama hatar kama haya mbarikiwe sana ndug zanguni
 
Pole sana mkuu, ungejaribu na zile tiba mbadala za kichina huenda ukapata suluhisho la tatizo lako. Naomba usikate tamaa, endelea kujipambania huku ukizidisha na maombi pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…