Folk Part II
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 419
- 490
Ahsante sana kwa faraja yako ubarikiwe piaPole ndugu. Mungu akufanyie wepesi
Nimeenda sana mkuu et hawaon tatizo x ray, ct scan na mri nimepigwa sana bado hawakuona tatizo ndo mana natafta mtu alie pitia hali kama yanguAmka na ujiandae kisha nenda hospitali.
Ugua pole na utapona mkuu.
Ahsante ndugu ubarikiwePole ndugu. Mungu akufanyie wepesi
Ahsante sana mkuu naona nimeteseka muda wangu wa kuondoka umefikaPole sana, na wahi hospitali
Nimeenda sana mkuu et hawaon tatizo x ray, ct scan na mri nimepigwa sana bado hawakuona tatizo ndo mana natafta mtu alie pitia hali kama yangu
Upo wapi? Nenda Ikonda utakuja kunishukuruNimeenda sana mkuu et hawaon tatizo x ray, ct scan na mri nimepigwa sana bado hawakuona tatizo ndo mana natafta mtu alie pitia hali kama yangu
Ahsante kwa ushauri wako ntaendelea kwenda hospitalin nisipokufa hiv karibun
Situmiagi kahawa ndugu wala kilevi chochote ukiachana na izo nicotine za kwenye kahawaHuwa unakunywa kahawa?
Ahsante sana mkuu ,baraka ziwe kwako piaPole sana mkuu
Nipo songwe mkuu ikonda ilikuwa planned but the same runner wa hili tatizo alienda hawakuona kitu apa inabidi niwe na dakitar atakayenifanyia mavipimo tofauti na nilivyofanya maana vingi huwa vinarudia ukileta kuwashauri wakufanyie kingine watakwambia wewe ni dakitar au unanifundisha kaz kama ndo ivo bas jitibu, nawaombea msije umwa magonjwa kama hatar kama haya mbarikiwe sana ndug zanguniUpo wapi? Nenda Ikonda utakuja kunishukuru