Nahisi kukata tamaa dunia haina usawa

Pole sana Castr
 

Mleta uzi pita hapa.
 
Moyo unaficha mengi.kama unaweza Wewe tafuta sehemu ulieeee ukitoka hope akili itakaa sawa na endelea kupambana.
Unaweza kulilia chumbani mwako, au kama wewe rc tumetengewa sehemu nzuri za kumalizia ya moyoni, nenda muda ambako hakuna watu sema yote unavyojiskia. Usibiri majibu hata kwenye ndoto jibu utaletewa.

N.b usikubali binadamu aone chozi lako.

Usisahau kulia eeh! Wengi tunaishi hivyo na mambo yanakaa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…