Nahisi kukata tamaa dunia haina usawa

Nahisi kukata tamaa dunia haina usawa

Moyo unaficha mengi.kama unaweza Wewe tafuta sehemu ulieeee ukitoka hope akili itakaa sawa na endelea kupambana.
Unaweza kulilia chumbani mwako, au kama wewe rc tumetengewa sehemu nzuri za kumalizia ya moyoni, nenda muda ambako hakuna watu sema yote unavyojiskia. Usibiri majibu hata kwenye ndoto jibu utaletewa.

N.b usikubali binadamu aone chozi lako.

Usisahau kulia eeh! Wengi tunaishi hivyo na mambo yanakaa sawa
ubarikiwe mkuu.
 
asante kweli Mimi ni fala ..
Kama umetambua tatizo pambana nalo sasa!!! Toa huo ufala then face challenges!! Hakuna maisha laini!! Hata Bakhresa mwenyewe ana shida!!!

Usikute Kusaga na pesa zote hana nguvu za kiume.

All in all PAMBANA!!
 
Back
Top Bottom