Nahisi kuna mchawi ananiroga humu JF

Super thinking tank
 
Leo nimetoka kifungoni (BAN). Natafuta dawa ya kujikinga na BAN za JF. Naomba ushauri.
hivi unajuaje kama umekula ban mkuu?! maana mara nyingine nikilog in inakataa kabisa
 
Dawa ni kusoma comments za watu bila wewe ku comment chochote
 
we mwenyewe ni mchovu wa fikra
 
Lmao!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wew una stahili ban ya milele ikiwezekana unyongwe kabisa
Hahahahahahahahahahahaha badala uombee dj au mamvi anyongwe kwa sababu ya unafiki na uchonganishi. Mimi nipo na sasa BAN naziepuka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…