Nahisi kuna mchawi ananiroga humu JF

Nahisi kuna mchawi ananiroga humu JF

Punguza lugha chafu
Dawa hii hapa
1472534779704.jpg
yeye tuu
 
Tumia fikra za kujenga zaidi kuliko kubobomoa,tumia fikra zaidi kuleta watu karibu kuliko kuwatanya,tumia fikra zaidi kufanya Jamii Forums ni sehemu ya watu wenye uelewa wa mambo anuai ndani na nje ya nchi,Tumia mtandao huu kama unavyojieleza kuwa "where we dare to talk" but not talking too much then nonsense.
Ukiwa mwanaccm wa muda mrefu watu wameshakufahamu humu sasa haina haja ya kuendeleza chuki,fitna,husda na lugha chafu ambazo hazina tija katika mada husiku.siku zote chama tawala na wafuasi wake ni watu wa kuigwa lakini imekuwa tofauti sana nchini mwetu,wafuasi wa chama tawala wamekuwa front kujishushia hadhi JF.Kupigwa BAN kunatokana na utovu wa NIDHAMU,JIREKEBISHE HAKUNA MCHAWI WALA BUNDI ANAYEWEZA KUTUA JF NA KUHARIBU MAARIAFA NA UTASHI WA FIKRA ZAKO.
 
Back
Top Bottom