Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa cyanide hutapata BAN tena!Leo nimetoka kifungoni (BAN). Natafuta dawa ya kujikinga na BAN za JF. Naomba ushauri.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Pole sana rafiki..tuwasiliane nina dawa kiboko ya banLeo nimetoka kifungoni (BAN). Natafuta dawa ya kujikinga na BAN za JF. Naomba ushauri.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kunywa cyanide hutapata BAN tena!
CCM inaingiaje hapa jamani? Kumbe una lako moyoni na wala siyo BAN!Duh yaani unataka nife kabisa. Sifi ng'oo na CCM itaendelea kutamba daima
Mshana, sasa tabu ya nini, ondokana na ban kabisa! Hiyo ndiyo njia botra ya kumkimbia mchawi[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji2]Mshana, sasa tabu ya nini, ondokana na ban kabisa! Hiyo ndiyo njia botra ya kumkimbia mchawi
Dawa hii hapaPunguza lugha chafu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]CCM inaingiaje hapa jamani? Kumbe una lako moyoni na wala siyo BAN!
Duh yaani unataka nife kabisa. Sifi ng'oo na CCM itaendelea kutamba daima
Duh yaani unataka nife kabisa. Sifi ng'oo na CCM itaendelea kutamba daima
Duh yaani unataka nife kabisa. Sifi ng'oo na CCM itaendelea kutamba daima
Ha ha ha watu na vyama vyao labda ndo kilichocoz BAN..!!CCM inaingiaje hapa jamani? Kumbe una lako moyoni na wala siyo BAN!
[emoji15] [emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Unabahati chuma cha mjerumani sio mod....ningekulima nyingine.