Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
Ni galfrd wangu wa muda mrefu,alikua na kawaida ya kunipgia simu zaidi ya mara 3 kwa siku,siku za hvi karibuni ameanzsha tabia ya kun2mia txts mbili kwa cku,moja asubuh ya kunisabah na nyngne usiku ya kunitakia usiku mwema..hii tabia imeanza tangu jpili ambako tulikua na kamgogoro kadogo ingawa 2likasolve,sa tangu hapo mtoto ndo kawa hvo ten,sa najiulza kapata mwingne anae mpa maraha au ndo vp?