Nahisi mimi ndio member ambae anaongoza kupigwa block na watu wengi hapa jamiiforums

Nahisi mimi ndio member ambae anaongoza kupigwa block na watu wengi hapa jamiiforums

Majibu yako paragraph ya mwisho hapo mwanangu.We kichwani zilikimbia
pale juu umesoma pana watu wangapi mkuu? Bas na wewe utakuwa wa 97 mana ninavyosema nablockiwa na wana sababu moja wapo ndio hiyi andaa kitufe cha block narud now
 
Wewe unaonaje kwani? Maana tukuulize umeonaje km wamekublock?
tatizo simu ninayotumia ni ya mwaka 2050 kwahy ni rais tu naona kupitia yule mtu akin koment nitaona avatar yake na pale mbele pameandikwa unblock na kwa chini nitaona uwanja empty hauna maandish na nikisema ni mqoute coment yake kwangu niki print maneno afu nika post kwangu itajionesha uwanja mtupu usio andikwa afu chini itajiandika ni mtu wa ngapi katika hilo
 
tatizo simu ninayotumia ni ya mwaka 2050 kwahy ni rais tu naona kupitia yule mtu akin koment nitaona avatar yake na pale mbele pameandikwa unblock na kwa chini nitaona uwanja empty hauna maandish na nikisema ni mqoute coment yake kwangu niki print maneno afu nika post kwangu itajionesha uwanja mtupu usio andikwa afu chini itajiandika ni mtu wa ngapi katika hilo
Mbona ulichokiandika hakieleweki? Na Mimi nakublock
 
pale juu umesoma pana watu wangapi mkuu? Bas na wewe utakuwa wa 97 mana ninavyosema nablockiwa na wana sababu moja wapo ndio hiyi andaa kitufe cha block narud now
Mimi ni Mtabibu so kudeal na watu kama nyienaweza
 
Usijali ni hatua za mwanzo kujifunza bange huwa lazima uone kila mtu anafatilia maisha yako na hawakupendi ila unavyoendelea kula kush utazoea
 
Mbona ulichokiandika hakieleweki? Na Mimi nakublock
kueleweka mi ni ngumu ukitumia akili ya 5g ya kwenye minara, kunielewa mm inaitajika utumie setelait ya elon mask starlink ndio mana nasema wanaonielewa humu angalau uwe na degree za quba tatu na anaenielewa mm jua chuo kasomea u.s.a
 
Mimi ni Mtabibu so kudeal na watu kama nyienaweza
sawa mwenzako kani block sio muda hapo juu kwangu inaonesha wa 97 ngoja nikuongeze angalau mfunge hesabu,asa mkuu mi niko na swali hapa sijui unaweza nijibu?
 
sawa mwenzako kani block sio muda hapo juu kwangu inaonesha wa 97 ngoja nikuongeze angalau mfunge hesabu,asa mkuu mi niko na swali hapa sijui unaweza nijibu?
Nakujibu tu fresh
 
sawa mwenzako kani block sio muda hapo juu kwangu inaonesha wa 97 ngoja nikuongeze angalau mfunge hesabu,asa mkuu mi niko na swali hapa sijui unaweza nijibu?
Mkuu tafuta namna ya kuzikabili huo Msongo wa mawazo unaosababishwa na Upweke.
 
Mr pipa mr misifa
a.k.a chimbuko la wehu

Ngoja kwanza nikulime block ndefu kimo cha mnazi
 
Back
Top Bottom