Nahisi mke mwenzangu anachepuka

Nahisi mke mwenzangu anachepuka

Mimi nimea ,Nina mke na watoto,kazi yangu ni kazi ya kusafiri safiri ,Huwa ni siku chache sana naweza kupata nafasi ya kuwa nyumbani na familia.tatizo nimeanza kuona mabadiliko Kwa mwenzangu , kwenye masuala mbali mbali,yaani hata anavyojibu maswali,sioni kama mwenzangu anashauku na familia kama mwanzo,Sasa hivi Huwa anachelewa sana kurudi job na Huwa sababu ninazopata ni kuwa kazi ni nyingi,ilihali naifahamu kuwa kazini kwao mida ya saa kumi wanakuwa wamemaliza majukumu.kwenye simu hataki tena niguse simu yake ,though sijawahi kukuta kama Kuna dalili ya kusema Kuna mtu anachati naye,nimeshamchunguza sana sioni kama Kuna dalili ya kuwasiliana na mtu yeyote ila ninavyohisi ni kama napigwa na kitu kizito kichwani.nikijaribu kumweleza anasema hawezi kufanya kitu cha namna hiyo ingawa naona hisia zangu zinanituma kuwa Kuna jambo halipo sawa.Mimi naona ni Bora mtu kuwa single .Sasa wadau ni namna Gani naweza kuthibitisha haya mashaka yangu?ni aina Gani ya technolojia inaweza kujisaidia?
Mtumie video yako ukiwa na mwanamke mwingine mnapeana kiss hapo na yeye ata kasirika atakutumia ya kwake na mwanaume mwingine kisha case closed.
 
Mkuu tandabui2021, umefanya makosa ya kiuandishi au ndiyo kweli mmeolewa mitala? Maana, kwenye kichwa cha mada umesema 'mke mwenzako' lakini kwenye habari unazungumzia kuoa na unayemzungumzia ni mke wako...lipi ni lipi?

Mkuu, jitahidi na uamue kutomfuatilia mwenza wako. Jiweke mbali na simu yake na acha kuishi kwa hisia na wasiwasi. Dhambi ina tabia ya kujianika. Iko siku, utayaona na kuyathibitisha bila hata ya kuyafuatilia.

Live your peaceful life Mkuu!
Wewe smartphone hauijui kwa umbea?.unaandika neno lingine linakuja lingine
 
Mimi nimea ,Nina mke na watoto,kazi yangu ni kazi ya kusafiri safiri ,Huwa ni siku chache sana naweza kupata nafasi ya kuwa nyumbani na familia.tatizo nimeanza kuona mabadiliko Kwa mwenzangu , kwenye masuala mbali mbali,yaani hata anavyojibu maswali,sioni kama mwenzangu anashauku na familia kama mwanzo,Sasa hivi Huwa anachelewa sana kurudi job na Huwa sababu ninazopata ni kuwa kazi ni nyingi,ilihali naifahamu kuwa kazini kwao mida ya saa kumi wanakuwa wamemaliza majukumu.kwenye simu hataki tena niguse simu yake ,though sijawahi kukuta kama Kuna dalili ya kusema Kuna mtu anachati naye,nimeshamchunguza sana sioni kama Kuna dalili ya kuwasiliana na mtu yeyote ila ninavyohisi ni kama napigwa na kitu kizito kichwani.nikijaribu kumweleza anasema hawezi kufanya kitu cha namna hiyo ingawa naona hisia zangu zinanituma kuwa Kuna jambo halipo sawa.Mimi naona ni Bora mtu kuwa single .Sasa wadau ni namna Gani naweza kuthibitisha haya mashaka yangu?ni aina Gani ya technolojia inaweza kujisaidia?
Watu wa ofisin wanapigwa asubuhi wanapowahi kazin au mchana Wakat wa lunch au wakisafir kikaz. Lakini usiishi kwa kuhic mtu utakufa umuachie watu.
 
Kwani anachelewa kila siku huko kazini? Jaribu kufika kazini kwao na uulize, pia kaa naye mchimbe mkwara kiasi kama kaanza tabia mbaya ataacha.
 
Mimi nimea ,Nina mke na watoto,kazi yangu ni kazi ya kusafiri safiri ,Huwa ni siku chache sana naweza kupata nafasi ya kuwa nyumbani na familia.tatizo nimeanza kuona mabadiliko Kwa mwenzangu , kwenye masuala mbali mbali,yaani hata anavyojibu maswali,sioni kama mwenzangu anashauku na familia kama mwanzo,Sasa hivi Huwa anachelewa sana kurudi job na Huwa sababu ninazopata ni kuwa kazi ni nyingi,ilihali naifahamu kuwa kazini kwao mida ya saa kumi wanakuwa wamemaliza majukumu.kwenye simu hataki tena niguse simu yake ,though sijawahi kukuta kama Kuna dalili ya kusema Kuna mtu anachati naye,nimeshamchunguza sana sioni kama Kuna dalili ya kuwasiliana na mtu yeyote ila ninavyohisi ni kama napigwa na kitu kizito kichwani.nikijaribu kumweleza anasema hawezi kufanya kitu cha namna hiyo ingawa naona hisia zangu zinanituma kuwa Kuna jambo halipo sawa.Mimi naona ni Bora mtu kuwa single .Sasa wadau ni namna Gani naweza kuthibitisha haya mashaka yangu?ni aina Gani ya technolojia inaweza kujisaidia?
Una mke mwenzako halafu umeoa? Duh
 
Speculation ni kitu mbaya sana kwenye mahusiano hasa ndoa. Za mwizi arobaini, huwezi kucheat siku zoooote pasipo kukamatwa, ipo siku tu anayecheat anakamatwa.

Ukishakuwa na uhakika unaweza kuchukua hatua
 
Teknolojia ya nini, Mbona ni simple tu! Nakushauri anzia hapa, si unasema anachelewa kutoka job, then fanya hivi kodi pikipiki, pozi nje ya office yake ambayo utaona kila anayeingia na kutoka then utakapomuona anatoka/panda gari ya mtu unga tela.
Kama hukumuona then May be amepanda gari yenye tinted, so watu wote ukiona wameisha toka na yeye hujamuona nenda kamuulize mlinzi.
Nakutakia mafanikio mema kwenye fumanizi!
Hasa hasa nyakati za kuingia wikendi kuanzia alhamis mpaka jumamosi hizo siku tatu ajaribu kuangalia huo utaratibu.
 
Back
Top Bottom