Kwa mara ya kwanza nimelike komenti yako Mtakatifu IvugaWewe ni mjinga kweli.una familia ya Mashaka halafu unahonga.
Grow up ! Jenga kwanza familia yako isimame, anzisha miradi hata ukiwa haupo wanaweka mwenyewe umeme
Jibu basi na zile pm zanguuuKwa mara ya kwanza nimelike komenti yako Mtakatifu Ivuga
Mbona wewe ile PM yangu ya kuomba hela ya kusukia hunijibu?Jibu basi na zile pm zanguuu
mkeo lazima atakuwa kimbau mbau(fito), wana wivu hao.
Press *#61# utapata jibu mkuuWadau habari za majukumu
Kuna jambo linanitatiza sana katika kipindi hiki cha karibuni baina yangu na mke wangu. Yaani kuna msg zangu anazijuaa, sasa sijui anapata wapi, mfano jana kuna mdada kwenye group la shule kanitumia msg anaomba msaada nimemtumia. Narudi home umeme hakuna, nikanunua LUKU kidogo akaniambia hela za kuhonga kutumia wanawake unazo LUKU hauna wewe bana wewe endelea TU 40 yako inakuja.
Basi hilo ni moja tu ya tukio lakini hapo maneno mengi ndani