Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
nyetoosafi sana, Kataa Ndoa
Kama unaweza kushare just share, hakuna anayrkufahamu humu, hatuna wataalam wa kusaidia mambo haya. The more you talk unazidi kupata relief.Jamani I can't tag everyone..lakin thanks... honestly Niko vibaya.. vibaya Sana..nshalia mpaka machoz yameisha sasa nacheka Kama mjinga[emoji85]. Maswali Ni mengi..
jamani Mimi Ni msafi sijisifii... kitandan namkimbiza mbali kabisa [emoji85] pesa Sina yes nliacha kazi sababu alinipa option ya yeye au kazi na Mimi nikasema nakutaka wewe baba Sweetie....
Ni msomi[emoji41]Nina jiwe langu moja japo halinsaidii lakin poa tuu...
Sina mdomo..napenda love everywhere Everytime....Yan mahaba kwny kila hatua, asubuhi mpaka tulale Ila ndo ye hawez anaona disturbance...
Yawezekana kweli Kuna mahala nilimkosea..Ila nyie..I remember one night na sitokaa niisahau..nlimuomba Sana aniambie Nini nifanye ili tuwe sawa. The more namuomba ndio the more ananidharau.. Yan alinishusha mpaka level ya mwisho ya ubinadamu...akanitukaaana na kunisimanga .
But it's okay... Kuna aliesema why naeleza mambo ya ndoa [emoji4][emoji4]sharing with you doesn't make me lose a thing...Wala hatujuani... Huwez jua comments zitaeza save one lost soul.....nyie nampenda baba sweetie [emoji23]
Faithfully...
Mama sweetie..
Nawapenda
Njoo kwangu nikulambe mpaka unyayo 😍Am really serious...
Jamani I can't tag everyone..lakin thanks... honestly Niko vibaya.. vibaya Sana..nshalia mpaka machoz yameisha sasa nacheka Kama mjinga[emoji85]. Maswali Ni mengi..
jamani Mimi Ni msafi sijisifii... kitandan namkimbiza mbali kabisa [emoji85] pesa Sina yes nliacha kazi sababu alinipa option ya yeye au kazi na Mimi nikasema nakutaka wewe baba Sweetie....
Ni msomi[emoji41]Nina jiwe langu moja japo halinsaidii lakin poa tuu...
Sina mdomo..napenda love everywhere Everytime....Yan mahaba kwny kila hatua, asubuhi mpaka tulale Ila ndo ye hawez anaona disturbance...
Yawezekana kweli Kuna mahala nilimkosea..Ila nyie..I remember one night na sitokaa niisahau..nlimuomba Sana aniambie Nini nifanye ili tuwe sawa. The more namuomba ndio the more ananidharau.. Yan alinishusha mpaka level ya mwisho ya ubinadamu...akanitukaaana na kunisimanga .
But it's okay... Kuna aliesema why naeleza mambo ya ndoa [emoji4][emoji4]sharing with you doesn't make me lose a thing...Wala hatujuani... Huwez jua comments zitaeza save one lost soul.....nyie nampenda baba sweetie [emoji23]
Faithfully...
Mama sweetie..
Nawapenda
Ukweli mchunguAs days go by, mnazoeana na kuonana wa kawaida tu. Kinachobaki ni kulea watoto na kusubiri wajukuu.
Mupesafi sana, Kataa Ndoa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Usipooa utaolewa tu!
wewe unamdanganya kabisa ushauri wa hovyo huu ulioutoa japo ni haki yako kutoa naomiMie nakujibu kwa experience ila sijaolewa , wanaume wakikuoa watumie kwa mwanzo aweke mambo ya kipesa sawa , ukimaliza umejiweka sawa basi anza kutokuwa free uwe busy panga ratiba amazojuabkanisa kuingia kwako ni saa 3 au saa mbili njoo na kitu kinachoiva haraka mle mlale usimlazimishe mapenzi ,sex mwache anze na jifany upo busy sio unahitaji sana ukimlazimisha sana anakuona huna kazi yakufanya haya kazi kwako.
Anza kutafuta kazi, ukipata jiweke vizuri ushine kuanzia nywele hadi miguu , jiweke busy , zaa mapema na wasiwe wengi uwe unawahudumia wao uwe hata hamu ya sex huna . Atajileta wala usipende michepuko fanya yako. Basi tu . Maisha nikujioa raha . Ndoa isiwe ndoano jiweke busy .
Njoo kwangu
PoleMume wangu aliponichoka...
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]