Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Jamani I can't tag everyone..lakin thanks... honestly Niko vibaya.. vibaya Sana..nshalia mpaka machoz yameisha sasa nacheka Kama mjinga[emoji85]. Maswali Ni mengi..

jamani Mimi Ni msafi sijisifii... kitandan namkimbiza mbali kabisa [emoji85] pesa Sina yes nliacha kazi sababu alinipa option ya yeye au kazi na Mimi nikasema nakutaka wewe baba Sweetie....

Ni msomi[emoji41]Nina jiwe langu moja japo halinsaidii lakin poa tuu...

Sina mdomo..napenda love everywhere Everytime....Yan mahaba kwny kila hatua, asubuhi mpaka tulale Ila ndo ye hawez anaona disturbance...

Yawezekana kweli Kuna mahala nilimkosea..Ila nyie..I remember one night na sitokaa niisahau..nlimuomba Sana aniambie Nini nifanye ili tuwe sawa. The more namuomba ndio the more ananidharau.. Yan alinishusha mpaka level ya mwisho ya ubinadamu...akanitukaaana na kunisimanga .

But it's okay... Kuna aliesema why naeleza mambo ya ndoa [emoji4][emoji4]sharing with you doesn't make me lose a thing...Wala hatujuani... Huwez jua comments zitaeza save one lost soul.....nyie nampenda baba sweetie [emoji23]
Faithfully...
Mama sweetie..
Nawapenda
Kama unaweza kushare just share, hakuna anayrkufahamu humu, hatuna wataalam wa kusaidia mambo haya. The more you talk unazidi kupata relief.

I hope he'll come by na kujirudi. Wewe fanya kile unachoamini kitaleta furaha kwa familia yako.
 
Niliwahi kufungua uzi kuhusu wanawake kumove on na wasiache kazi kisa mwanaume.
 
Jaribu kumuomba usafiri uende likizo at least two months ili uwe mbali naye angalau akumiss
Jamani I can't tag everyone..lakin thanks... honestly Niko vibaya.. vibaya Sana..nshalia mpaka machoz yameisha sasa nacheka Kama mjinga[emoji85]. Maswali Ni mengi..

jamani Mimi Ni msafi sijisifii... kitandan namkimbiza mbali kabisa [emoji85] pesa Sina yes nliacha kazi sababu alinipa option ya yeye au kazi na Mimi nikasema nakutaka wewe baba Sweetie....

Ni msomi[emoji41]Nina jiwe langu moja japo halinsaidii lakin poa tuu...

Sina mdomo..napenda love everywhere Everytime....Yan mahaba kwny kila hatua, asubuhi mpaka tulale Ila ndo ye hawez anaona disturbance...

Yawezekana kweli Kuna mahala nilimkosea..Ila nyie..I remember one night na sitokaa niisahau..nlimuomba Sana aniambie Nini nifanye ili tuwe sawa. The more namuomba ndio the more ananidharau.. Yan alinishusha mpaka level ya mwisho ya ubinadamu...akanitukaaana na kunisimanga .

But it's okay... Kuna aliesema why naeleza mambo ya ndoa [emoji4][emoji4]sharing with you doesn't make me lose a thing...Wala hatujuani... Huwez jua comments zitaeza save one lost soul.....nyie nampenda baba sweetie [emoji23]
Faithfully...
Mama sweetie..
Nawapenda
 
Mie nakujibu kwa experience ila sijaolewa , wanaume wakikuoa watumie kwa mwanzo aweke mambo ya kipesa sawa , ukimaliza umejiweka sawa basi anza kutokuwa free uwe busy panga ratiba amazojuabkanisa kuingia kwako ni saa 3 au saa mbili njoo na kitu kinachoiva haraka mle mlale usimlazimishe mapenzi ,sex mwache anze na jifany upo busy sio unahitaji sana ukimlazimisha sana anakuona huna kazi yakufanya haya kazi kwako.

Anza kutafuta kazi, ukipata jiweke vizuri ushine kuanzia nywele hadi miguu , jiweke busy , zaa mapema na wasiwe wengi uwe unawahudumia wao uwe hata hamu ya sex huna . Atajileta wala usipende michepuko fanya yako. Basi tu . Maisha nikujioa raha . Ndoa isiwe ndoano jiweke busy .
wewe unamdanganya kabisa ushauri wa hovyo huu ulioutoa japo ni haki yako kutoa naomi
 
Nahisi Tatizo ni lako,

Tafuta namna ya kuwa bize, yaani mpe nafasi ya kukumiss,

Pia Usitegemeze furaha yako kwake Find something that you love and dive into it, Just be happy and not like stressed mda wote.

Kuwa kama mwanamke anaeweza kutamanisha as before. Tatizo wanawake mkiolewa mnaacha kuvaa vizuri, hata kujiweka safi mda mwingine.
Na la Mwisho Muache Mwanaume awe mwanaume. Acha kulazimisha vitu, hata kama wazo ni lako mfanye aonekane yeye ndio kaamua na upunguze kisirani.
 
Kwenye ndoa, mmojawapo anapokosa uaminifu basi ndoa hutetereka.

Mmoja wenu kapata aliyebora kuliko mwenzake huko nje. Wandani anaonekana takataka.

Remember! Neediness is the most unattractive trait thats ruin the relationship.

Familia isiyosali/swali pamoja humkaribisha Satan miongoni mwao na ndo hapo chanzo cha matatizo huanzia.

Pole sana mkuu. Usichoke kuipambania ndoa yako.
 
Mume wangu aliponichoka...

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Pole
 
Inawezekana hajiamini huyo mumewako!kwahiyo anakushusha ili ujione takataka zaidi.

Inawezekana pia nguvu za kiume zimeanza kupungua kwahiyo anakunyanyasa ili ukose kujiamini kabisa ujione haufai na huwezi kupata mwanaume wa kukupenda zaidi yake!yaani anakufanya uamini yeye ndio amekustiri wewe[emoji23]bila yeye huwezi kuishi[emoji23]!

Unyanyasaji ni miongoni mwa mbinu wanayoitumia wanaume wenye matatizo ya nguvu za kiume ili usiweze KUMUACHA!!,wanakua na shida sana!ubabe mwingiii,amri nyingi ndani tena za ajabu ajabu,mkali sanaa,matusi mengiii,mwingine hata kukupiga anaweza kukupiga

Kama nguvu zake ziko sawa basi huyo mtu ana mwanamke mwingine!!mimi nilipitia situation kama yako!tena hivyohivyo kabisa!ni amini mimi jamaa ana MTU WAKE!wanaume wengine hawawezi kubalance upendo hivyo anaegemea sana kwa mchepuko kuliko kwako!

Kama amekuchoka kweli basi hakuna namna yeyote ile unaweza kufanya ili akupende tena!yaani wanaume wakikuchoka wanakua hivyo!Kuna njia 2 za kufanya nazi ni hizi;

1.Kama munayo ndoa ya kanisani basi na munaowatoto kama ulivyosema basi wewe anza kuhangaika na watoto wako!una degree moja (kama nimekuelewa vizuri)toka ndani nenda katafute ajira hata kwenye viwanda,makampuni na mashirika binafsi,usichoke utapata tu nakuombea!

2.Acha kabisa kumfata fata!Mahaba ni Intimacy lakini Intimacy hiyohiyo inageuka kero pindi mapenzi yanapokufa,Nakuelewa!Najua ni ngumu sana kuacha kumfatilia au kujipendekeza kwa mumeo hasa kama unampenda sana!ila jitahidi hivyohivyo kidogokidogo utaweza

3.Usitegemee yeye kubadilika,wewe ndie ubadilike!
Amua kuchagua furaha,hata kama kwasasa huna hela ya kujiremba ila nina Imani unazo nguo nzuri kabatini,Oga vizuri na Ubane/Chana nywele zako vizuri..Hakuna Tiba kubwa zaidi ya Tabasamu!!Mylove Tabasamu!!ni ngumu kutabasamu ikiwa moyo unavuja damu ila jitahidi tu!![emoji30]Usionyeshe unyonge ukiwa nae,Acha kulalamika.

4.Jenga imani kwamba huyo sio wako tena!kubali kuachika!Ona kama jamaa anakusaidia tu wewe na watoto wako kwa muda mfupi kabla hujaachwa Officialy!!ukijijengea dhana hii itakua msaada mkubwa kwako wa kumove On haraka na kupooza moyo wako!

5.Mwisho!usimuache mungu,Omba mungu akupe moyo wa kuishi bila yeye na sio mungu ambadilishe yeye!

Natamani ningekuwa karibu na wewe tukashare maumivu na uzoefu maana njia yetu moja!
 
Tatizo lipo kwenye chanzo cha kuaona kwenu.

Imeandikwa;

“Enyi binti Sayuni msiyachochee mapenzi mpaka yatakapoona yenyewe kufaa”

Mwanamke kumshinikiza Mwanaume akajitambulishe kwenu kisha atoe mahali akuoe bila yeye mwenyewe kuamua kufanya hiyo juhudi matokeo yake huwa kama hayo [emoji108]

Na wengine huenda mbali kwa kuwaroga wachumba zao kwa kuwapumbaza akili wawaoe haraka.

Baada ya muda matokeo huwa hayo.

Tafakali.

Actually sio wewe tu wanawake wengi wanakutana na hali hiyo kwa nyakati tofauti tofauti.

Wengine wanaishi kinyume na nature , wanawatala wanaume wao ndio wana kauli ya mwisho kwenye Nyumba baada ya muda matokeo huwa kama hayo Mwanaume akichoka.
 
Back
Top Bottom