Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Mdanganye atapandishwa cheo(mke mkubwa),tulia hapo hapo nimapitoo tu. Pengine uchumi umeyumba mpe mda!Mkuu, omba kusafiri kidogo uende nyumbani upumzike walau weeks kadhaa kisha urudi au kama mumeo anaye kaka yake mkubwa mshirikishe huyo shemeji yako changamoto unazozipitia.
Kwani akieendelea kukaa hapo hapo huyo jamaa ndio hawezi kuongeza mke mwingine??Mdanganye atapandishwa cheo(mke mkubwa),tulia hapo hapo nimapitoo tu. Pengine uchumi umeyumba mpe mda!
Mkuuu nimecheka sana,Mume wangu aliponichoka.
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Take a break au KATAA NDOAMume wangu aliponichoka.
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Unajiskiaje ukiniambia maneno Kama haya muda ambao nahitaji faraja?[emoji4][emoji4]...are you perfect?..upo straight to that comment as if you are sure of what you are saying...binti sayuni this that..wokovu wako ukusaidie in Jesus name..usiwe wa kuimba quotes za biblia Bali wa kuyaishi matendo mema...mh??Tatizo lipo kwenye chanzo cha kuaona kwenu.
Imeandikwa;
“Enyi binti Sayuni msiyachochee mapenzi mpaka yatakapoona yenyewe kufaa”
Mwanamke kumshinikiza Mwanaume akajitambulishe kwenu kisha atoe mahali akuoe bila yeye mwenyewe kuamua kufanya hiyo juhudi matokeo yake huwa kama hayo [emoji108]
Na wengine huenda mbali kwa kuwaroga wachumba zao kwa kuwapumbaza akili wawaoe haraka.
Baada ya muda matokeo huwa hayo.
Tafakali.
Actually sio wewe tu wanawake wengi wanakutana na hali hiyo kwa nyakati tofauti tofauti.
Wengine wanaishi kinyume na nature , wanawatala wanaume wao ndio wana kauli ya mwisho kwenye Nyumba baada ya muda matokeo huwa kama hayo Mwanaume akichoka.
[emoji4][emoji4][emoji4]Zamda, thanks...Inawezekana hajiamini huyo mumewako!kwahiyo anakushusha ili ujione takataka zaidi.
Inawezekana pia nguvu za kiume zimeanza kupungua kwahiyo anakunyanyasa ili ukose kujiamini kabisa ujione haufai na huwezi kupata mwanaume wa kukupenda zaidi yake!yaani anakufanya uamini yeye ndio amekustiri wewe[emoji23]bila yeye huwezi kuishi[emoji23]!
Unyanyasaji ni miongoni mwa mbinu wanayoitumia wanaume wenye matatizo ya nguvu za kiume ili usiweze KUMUACHA!!,wanakua na shida sana!ubabe mwingiii,amri nyingi ndani tena za ajabu ajabu,mkali sanaa,matusi mengiii,mwingine hata kukupiga anaweza kukupiga
Kama nguvu zake ziko sawa basi huyo mtu ana mwanamke mwingine!!mimi nilipitia situation kama yako!tena hivyohivyo kabisa!ni amini mimi jamaa ana MTU WAKE!wanaume wengine hawawezi kubalance upendo hivyo anaegemea sana kwa mchepuko kuliko kwako!
Kama amekuchoka kweli basi hakuna namna yeyote ile unaweza kufanya ili akupende tena!yaani wanaume wakikuchoka wanakua hivyo!Kuna njia 2 za kufanya nazi ni hizi;
1.Kama munayo ndoa ya kanisani basi na munaowatoto kama ulivyosema basi wewe anza kuhangaika na watoto wako!una degree moja (kama nimekuelewa vizuri)toka ndani nenda katafute ajira hata kwenye viwanda,makampuni na mashirika binafsi,usichoke utapata tu nakuombea!
2.Acha kabisa kumfata fata!Mahaba ni Intimacy lakini Intimacy hiyohiyo inageuka kero pindi mapenzi yanapokufa,Nakuelewa!Najua ni ngumu sana kuacha kumfatilia au kujipendekeza kwa mumeo hasa kama unampenda sana!ila jitahidi hivyohivyo kidogokidogo utaweza
3.Usitegemee yeye kubadilika,wewe ndie ubadilike!
Amua kuchagua furaha,hata kama kwasasa huna hela ya kujiremba ila nina Imani unazo nguo nzuri kabatini,Oga vizuri na Ubane/Chana nywele zako vizuri..Hakuna Tiba kubwa zaidi ya Tabasamu!!Mylove Tabasamu!!ni ngumu kutabasamu ikiwa moyo unavuja damu ila jitahidi tu!![emoji30]Usionyeshe unyonge ukiwa nae,Acha kulalamika.
4.Jenga imani kwamba huyo sio wako tena!kubali kuachika!Ona kama jamaa anakusaidia tu wewe na watoto wako kwa muda mfupi kabla hujaachwa Officialy!!ukijijengea dhana hii itakua msaada mkubwa kwako wa kumove On haraka na kupooza moyo wako!
5.Mwisho!usimuache mungu,Omba mungu akupe moyo wa kuishi bila yeye na sio mungu ambadilishe yeye!
Natamani ningekuwa karibu na wewe tukashare maumivu na uzoefu maana njia yetu moja!
Ananitesa Sasa mawazo yanankondesha[emoji17] na iyo nenepa Sasa ya dharau ndo inankondesha Mara kumi elf[emoji276]Umeshaambiwa nenepa hutaki. Usaidiwe nini tena?
SawaHapa utakipata unachokitafuta.
Wewe tafuta namna unenepe tu. Hiyo ni hatua ya kwanzaAnanitesa Sasa mawazo yanankondesha[emoji17] na iyo nenepa Sasa ya dharau ndo inankondesha Mara kumi elf[emoji276]
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila Kama kweli iviiWewe tafuta namna unenepe tu. Hiyo ni hatua ya kwanza
Basi fanyia kazi hilo[emoji23][emoji23][emoji23] Ila Kama kweli ivii
Da pole dada yangu mungu akutie nguvu mapito tu hayo[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Unajiskiaje ukiniambia maneno Kama haya muda ambao nahitaji faraja?[emoji4][emoji4]...are you perfect?..upo straight to that comment as if you are sure of what you are saying...binti sayuni this that..wokovu wako ukusaidie in Jesus name..usiwe wa kuimba quotes za biblia Bali wa kuyaishi matendo mema...mh??
Acha kebehiVaseline Bado ni Bei kubwa, paka ya Nazi
Ndoa ni kwaajili ya wanawake na wanaume dhaifu na wajinga. Siyo kukonda tu mwisho wa siku mtauana kabisa.Mume wangu aliponichoka.
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Kiukweli hata ndoa hii ikifa[emoji4][emoji4]ntaolewa Tena [emoji23][emoji23] kukataa ndoa ndo kitu nimeshindwa..Kuna ladha flan iviiiNdoa ni kwaajili ya wanawake na wanaume dhaifu na wajinga. Siyo kukonda tu mwisho wa siku mtauana kabisa.
#KATAANDOA