Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Pana wengine hawajitambui,Kama anatembea uchi je aachwe,anarudi usiku saa tano kalewa aachwe tu,ukiamua kuolewa achana na maisha ya msimbe yaan usingle,maliza kwanza ujana ndipo uingie kwenye ndoa ili usichanganye mambo.
Nadharia ya sababu sina kipato thus ananinyanyasa ni kimbilio tu la wanawake wasiowatii waume zao
 
Dear bongo dili..Yan mi nliacha adi kazi[emoji1787] ili tu kumridhisha baba sweetie..as alisema nikienda job Nani atatake care of his house..Yan am a full time house wife[emoji4][emoji4]
..mind you nimeokoka kabisa...Mimi Ni born again Christian[emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…