Yours_sincerely
Member
- Jul 12, 2023
- 79
- 299
- Thread starter
-
- #61
Nampenda [emoji85]Adha yote ya nini hiyo mama. Kwani umezaliwa nae???
Wataalamu wanasema times heal,we timiza majukumu yako yampasayo mke kwa mume,usimpe sana attention huwezi jua yapi anapitia ofisin kwake,achilia nafsi yako kula vizur,toka out na watoto wako,weka attention Zaid kwa watoto.Sina mdomo[emoji4] mi Ni kamzungu flan mahaba tu Ila nakula za uso[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee Jamaa msimamo wako umeushikilia kweli unautendea haki [emoji23]safi sana, Kataa Ndoa
Ni dhahiri hakupendi huyo.Nampenda [emoji85]
Kwani ukiikosa utakufa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nanyimwa dada, Yan naomba bas umeninyima iyo..naomba bas unishike apa, wapiii anakataa[emoji23]
Asante sanaWataalamu wanasema times heal,we timiza majukumu yako yampasayo mke kwa mume,usimpe sana attention huwezi jua yapi anapitia ofisin kwake,achilia nafsi yako kula vizur,toka out na watoto wako,weka attention Zaid kwa watoto.
Usifanye kosa kubwa la kipumbavu litakalokugharimu la kutafuta wa kuchat chat nae wa nje ili eti uondoe stress, shetani ana nguvu.
Amini hio ni situation ya muda tu.
Lipa ubaya kwa jema.
Wakamate ndugu na wazazi wake ukishawaweka mkononi mume hana nguvu yeyeto.
Ndoa smooth ni chache sana ni za wale matured pekee.
[emoji23][emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Weee, mi Ni msafiii,[emoji1787]hatari..ntaanza kujipenda japo shida nyingi [emoji17]Anza kujipenda..
Chunga kinywa chako...
Usafi...
Pole sana rafikiKweli Ramon,najiona kabisa nilivyodhoofika[emoji17]
Na yeye ndio anapita humo humo.......kwenye ku fall kwako...............Ndio Maddox..how I wish nijikatae? Nimefall kabisa.. kweli nampenda
π π π πWee Jamaa msimamo wako umeushikilia kweli unautendea haki [emoji23]
[emoji17][emoji17]Na yeye ndio anapita humo humo.......kwenye ku fall kwako...............
AsantePole sana rafiki
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji17][emoji17]Kwani ukiikosa utakufa.
Ifocus mind yako kwenye mengine
Acha kumfatilia fanya mambo mengine utakufa kwa stress bure unavyozidi kungangania akupende ndo unazidi kumpotezaMume wangu aliponichoka...
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
kuamkia J3 nilikuwa hapoOyaa...nakutafutaga Kwa siro SI kuoni
Asante[emoji17]Ni dhahiri hakupendi huyo.
Usidhalilishe utu wako kwa mtu asiejua thamani yako.
Ni ngumu kuacha kumpenda ghafla ila jaribu kuanza kujipenda wewe mwenyewe kwanza katika hiyo process utaacha kumpenda yeye.