Yours_sincerely
Member
- Jul 12, 2023
- 79
- 299
- Thread starter
-
- #101
Sawa DazWanaume huwa tunajisahau kwa kuwa ninyi hamjilengeshi upya, sisi tunapenda mambo tofauti tofauti, tengeneza mkakati lamama
Joanna,how is your marriage working?all perfect?Acha huu upuuzi ungekuwa karibu ningekupa kerbu Moja![emoji41]
Utapakwa mgando kupenda wake za wanaumeNjoo kwangu nakulamba mpka unyayo[emoji3590]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamani.[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Mi sijui Kingereza,,, ila siwezi kudiscuss ndoa yangu mitandaoni,Wacha tuendeleze na hii Yako uliyoiweka hapa.Joanna,how is your marriage working?all perfect?
kuna kitu umesahau hapo.[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
usijemleta shem hukuMi sijui Kingereza,,, ila siwezi kudiscuss ndoa yangu mitandaoni,Wacha tuendeleze na hii Yako uliyoiweka hapa.
Kujipendezesha bila pesa miss! k asema anapaka mafuta ya watoto hana hela ya lotion😢Jipende dada. Kula vizuri, vaa upendeze, nukia hatakama upo nyumbani. Halafu usimgasi gasi mpe nafasi huku wewe ukiendelea kujipendezesha.
hii komenti yenyeweMi tugombane tu ila usinyimbe mbo**
Sasa mbo** nikitu ya kumnyima mtu kweli
Kama kaokoka mkumbushe atembelee hiiUmenifurahisha sana kusema kua umeokoka...ubarikiwe sana na kama kweli umeokoka utafahamu jinsi gani ndoa na maisha kwa ujumla ya wapendwa yanavyopigwa vita na shetani!!
Kitu unachokosea ni kumpa binadamu mwenzio nafasi zaidi ya Mungu wako aliekuumba!!
Umejishusha sana kwake adi sio poa...mpe nafasi, fanya mambo yako tumia muda wako mwingi kumtafuta Mungu...yeye zidi kumuheshimu na kumpenda kama mume... Ila katu usiforce mambo!!
BALI UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MUNGU NA NGUVU ZAKE NA MENGINE YOTE MTAZIDISHIWA....!!!
Ushafika na ushauri wako wa ki ibilisi😁😁Uko wapi? Njoo tulewe wewe upo single km mimi tofauti yetu wewe una vyeti vya ndoa
Ataniambia nikiomba Kodi ya meza nije niombee MMU😃usijemleta shem huku
Ushafika na ushauri wako wa ki ibilisi[emoji16][emoji16]
😂 😂 ndio usithubutu bora ufe nayoAtaniambia nikiomba Kodi ya meza nije niombee MMU😃