Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamani.
 
[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
kuna kitu umesahau hapo.
Unampenda
 
Umenifurahisha sana kusema kua umeokoka...ubarikiwe sana na kama kweli umeokoka utafahamu jinsi gani ndoa na maisha kwa ujumla ya wapendwa yanavyopigwa vita na shetani!!

Kitu unachokosea ni kumpa binadamu mwenzio nafasi zaidi ya Mungu wako aliekuumba!!


Umejishusha sana kwake adi sio poa...mpe nafasi, fanya mambo yako tumia muda wako mwingi kumtafuta Mungu...yeye zidi kumuheshimu na kumpenda kama mume... Ila katu usiforce mambo!!

BALI UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MUNGU NA NGUVU ZAKE NA MENGINE YOTE MTAZIDISHIWA....!!!
 
Umenifurahisha sana kusema kua umeokoka...ubarikiwe sana na kama kweli umeokoka utafahamu jinsi gani ndoa na maisha kwa ujumla ya wapendwa yanavyopigwa vita na shetani!!

Kitu unachokosea ni kumpa binadamu mwenzio nafasi zaidi ya Mungu wako aliekuumba!!


Umejishusha sana kwake adi sio poa...mpe nafasi, fanya mambo yako tumia muda wako mwingi kumtafuta Mungu...yeye zidi kumuheshimu na kumpenda kama mume... Ila katu usiforce mambo!!

BALI UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MUNGU NA NGUVU ZAKE NA MENGINE YOTE MTAZIDISHIWA....!!!
Kama kaokoka mkumbushe atembelee hii

Wakosai 3:18-19

Aache mambo ya kupenda Mume.
 
Back
Top Bottom