Captain 22175
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 249
- 407
Pole mkuu. Vip ktk ukoo wenu Kuna yeyote mwiizmwiz ? Pengne ni vi element vya ukooNavaa fresh tu sijui ni nini. Hata nikiwa shule kikitokea kitu lazima niwe kwenye list ya wahisiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu. Vip ktk ukoo wenu Kuna yeyote mwiizmwiz ? Pengne ni vi element vya ukooNavaa fresh tu sijui ni nini. Hata nikiwa shule kikitokea kitu lazima niwe kwenye list ya wahisiwa.
Utakuwa una viashiria vya UgaidiWazima wandugu, hili tatizo ni mimi tu au kuna mwingine linamtokea. Nikienda kwa vibanda vya mpesa mara nyingi wanataka Waone SMS iliyorudi kwangu ndio wanipatie pesa.
Nikienda office za watu utaona mdada anahamisha pochi yake na simu, Bank teller anachukua muda mwingi kunihudumia.. saa nyingine anaenda kupata ushauri kwa mwenzake au manager.
Hii hali inanifedhehesha sana.
AhahaaaaaaUmenikumbusha mi nlienda kwenye mpesa nimening'iniza funguo ya gar kiunon alaf Niko smart nikamkuta dada mmoja mkali balaa alaf nkaomba namba yake ili nitoe pesa akanipa nikatoa buku tu ,,
Daah yule sista aliniangalia Mara mbili mbili huku ananiuliza umetoa shingap? Nikamjibu buku akauliza "eeeeh?" Nikamjibu "buku" (ki gangster) huku nanyoosha mkono anipe hela yangu nlivyoondoka aliniangalia had napotelea.
mmmh basi una professional fulani hivi sio bure mjani hutumiiNavaa fresh tu sijui ni nini. Hata nikiwa shule kikitokea kitu lazima niwe kwenye list ya wahisiwa.