Hilo kama ni kweli ulichotueleza ni tatizo muone daktari.
Mimi binafsi khali hiyo hutokea endapo ntatumia condom, ukizingatia tendo hilo linahitaji hisia zaidi
Sasa kwako upande Wa hisia umeathiriwa na jambo Fulani.
Kwa kuwa umejisifia kuwa umejaaliwa ulitakiwa hali hii isikukute kama uko kamili, vinginevyo yawezekana unakutana na RAMBO.
Pia inategemea unakutana na wanawake wa aina gani strong or soft
Pia unapaswa kulifanya tendo kwa furaha na sio kukomoa mtu sasa wewe unalenga kimonoa zaidi huwa pia tunasoma hisia za mtu uliye nae kwanza
Una nguvu nyingi za kike hivyo zinazuia nguvu za kiume kufanya kazi na kukojoa katika muda sahihi, kuwa mwangalifu muda si mrefu utajiunga na wenzako wakina james delicious