Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

Hallow wana JF, Naomba radhi kwa simulizi hii ndefu..
Mimi ni kijana, umri wangu ni kati ya 25-30. Ni mhitimu wa chuo kikuu. Ni msaarabu, najiheshimu na napenda maendeleo. Nipo kwnye mahusiano imara, japo tupo mikoa tofauti na tupendana sana na girlfriend wangu & recently tumeanza taratibu za utambulisho nyumban japo si rasmi..hivi karibuni nimepatwa na tukio la ajabu, kuna rafiki yangu wa kike way back toka primary scul tulikuwa tunawasiliana kawaida as normal friends lakin kumbe mwenzangu alikuwa na hisia za mapenz kwngu,,alipoona simtamkii akaamua avunje ukimya, nikamwambia haiwezekan na sabab nikampa..alilia sana akaomba 2fanye kwa siri coz hata yeye ana boyfrnd bt yupo mbal bt nikabak na msimamo wngu..akaomba tuonane japo tuongee, nikakataa lakin akaforce kuja home (nlikuwa peke yang) coz alikuwa anapajua,,kafika home hana jipya, alipoona nmegoma kabsa akaanza kunfanyia fujo(sexual harassment) akavua nguo zote tufanye ngono, nikajikaza kiume nikamvalisha nguo & nikamtoa nje, too bad nlisahau funguo za gate ikabidi nirud ndan kumbe mwenzang ananfata nyuma pasi na kujua,,akaanza fujo tena & this time nlizidiwa nguvu & we had sex, unprotected sex..i was raped na mwanamke,,nlilia sana that day nikapanga safar kwnda kumwambia my girl coz hatufichan ki2 (kwnye sim nilishindwa),,ucku huo yule mwanamke akantext kuwa nikijaribu kumwacha atamwambia girlfriend wngu, cjui alichukua phone no. mda gani,,ikabid niwe mpole..then akanambia "too late" kuulza ana maana gan akawa anacheka..nlimwambia my friend lawyer akacma kesi ngumu coz tukio lilitokea hme so ngumu kuprove a rape..after 1 month nikaanza kupata symptoms za ajab, nikaenda kuchek STI (ckupima HIV) nikawa sina bt nlipata UTI,, nkafuatilia zile dalili na kugundua ni related na Acute HIV, nkaogopa sana, nikaanza kumkwepa girlfriend wang kila akipanga safar natfta excuse, nia yangu itimie 3 months...i knw knowldge z power & najua kila kitu kuhusu HIV japo si dokta, najua i can live 30 years, najua the cure is near or imepatikana bt held in disguise,berlin patient,missisipi baby(cured of HIV) bt God AM FREAKED OUT, juz imetimia 3 months naogopa kwenda kupima, ntamwambia nin girlfrnd wng kama nmeathirika, ataniacha,,i'l be alone...am not too weak to kil myself or kill anyone..nmeamua kumsameh aliyenfanyia huu uchaf nmemwachia Mung,,all my life nimeishi vizur(mbal na vishawish) only God knows haya majaribu yana maana gani,,
Nimechanganykiwa naombeni msaada wa mawazo, nmejiunga huku walau niitoe moyoni nipate relief coz naogopa kuambia watu...I've got no one to talk to kuhusu hii ishu.
Fuata njia hii,jifanye huyo mwanamke wako wa zamani kama vile unampenda sana na unataka muendelee na mapenzi,akikubali mwambie nataka mkapime HIV kwanza,kama utaona anakubali kirahisi kupima kuna uwezekano anajiamini ana she can be safe na hiyo itakusaidia kukupa confidence ya kwenda kupima nenda naye mkapime,lakini ukimuona anakataa ujue something might have been wrong so subiri upime kwa wakati wako.Pia baada ya kupima ukikuta uko salama mpige chini kwani huyo hakufai sio muaminifu anaweza kuja kukupa ngoma mbeleni.
 
How do you rape a man?

Does the definition of rape according to the law include that of a man?
 
Hauko peke yako kaka.
Mwenzio nipo kwenye dozi ya PEP kutokana na mabalaa kama hayo, Dokta kaniambia sio 100% Zinafunction, Sina raha, Nimedhohofu mwili, Uwezo wangu kazini pia umepungua, Nimeambiwa baada ya mwez mmoja nitapima kuona maendeleo ya tiba.
Najiona tarehe haifiki,Nina mawazo mengi kichwani, sina raha abisa.
Niombeeni dua wadau ili tarehe hiyo majibu yangu yawe mazuri.


tuombe mambo yawe mazuri n uwe safe side
pole matatiz
 
Last edited by a moderator:
Kweli nakuonea huruma. Kuna silaha moja anayoijua shetani, ndiyo silaha anayoitumia kumaliza nayo huu ulimwengu. HOFU. Hofu ya yajayo, hofu ya uliyotenda miaka ya hukoo, hofu.
Kijana, weye nenda kapime. LIWALO NA LIWE! ukiisha jua, utajipanga vizuri. Utaamua kumwambia gf wako au uache. Lakini sasa, hii kimbia kimbia yako na viji excuse mbali mbali vitamfanya aone kuwa una mwingine akuache weye sijui utaenda wapi.
Kama ingekuwa kila ukichovya ni tayari umeukwaa mbona wengi leo wangesha kufa? Nenda kapime.
 
You are safe worry out. By the way how long did u take before ejaculation? Was the girl fruidy in her pus.ssy ? You are safe huezi amini ila ndo ukweli Upo salama.
 
People are soo mean,hajaja Jamii forum kuongeza stress....kumbukeni sio watu wote wenye elimu ya ukimwi...kama unaona anachosema si cha kweli,mwambie tu kistaraabu na sio kuanza kumdhihaki...no wonder hajareply most of msgs.....hatujasoma saikolojia bt at list we are humans.
 
We muoga sana wa kufa...Kufa utakufa tu utake usitake....Ukiishi maisha ishi to the fullest with no worries...sio unakosa furaha kisa unafikiri kama una maambukizo....

wewe wasema...sikia tu kwa jirani. haya mambo magumu sanaaaa!!!!
 
wakati kuna watu wanajilipua daily pale buguruni afu wanadundika tu bila wasiwasi....
kweli watu wengine mmeumbwa kuwa na stress..
 
Kubakwa na mwanamke mmh haiingii mukichwa kabisa.
Ila kapime ujue unapoelejea
 
Piga moyo konde Kapime, Hofu sio mbadala wahali hiyo utazid umia nafsini good luck
 
Dah pole sana ndugu yangu...

Nakumbuka kuna mama mmoja alishawahi kusema "Fikiri raha ya dakika chache inakufanya ujute maisha yako yote"

Mungu akupe rehema zake ili pindi utakapoenda kupima usiwe umeambukizwa.N..

Mahusiano ya sasa hivi mimi naweza kuwa mwaminifu tatizo yeye sasa......

Na pia ahsante kwa kupata wazo na kuweka hapa yamkini nimejifunza kitu hapo...........
Kuwa makini na maisha nikiyachezea yatanichezea na kunijutisha.......

Kila la kheri katika majibu yako baada ya kupima nakuombea uwe na Negative.

Ukipata Negative jitunze usirudie kosa tena.
 
Kubakwa dah nimeipenda na tena ulizidiwa nguvu na ukalia sana baada ya kubakwa mwanaume.Nina maswali 2 kwako mbakwaji:
(1) Ulivyobakwa ulisikia utamu au maumivu na naniliu ilisimama?
(2) Kwanin ulivyokuwa unabakwa haukupiga ukelele au mbakaji alizidisha manjonjo na ufundi
 
Hakuna ugonjwa mbaya kama hofu! Utakonda na kuharisha na kutapika sababu ya hofu.! Hofu ya kupima! Mbaya sana hii hasa kwa sie wapita njia
 
Kubakwa dah nimeipenda na tena ulizidiwa nguvu na ukalia sana baada ya kubakwa mwanaume.Nina maswali 2 kwako mbakwaji:
(1) Ulivyobakwa ulisikia utamu au maumivu na naniliu ilisimama?
(2) Kwanin ulivyokuwa unabakwa haukupiga ukelele au mbakaji alizidisha manjonjo na ufundi

Mmh nitamsaidia kujibu
 
Back
Top Bottom