Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

Hallow wana JF, Naomba radhi kwa simulizi hii ndefu..
Mimi ni kijana, umri wangu ni kati ya 25-30. Ni mhitimu wa chuo kikuu. Ni msaarabu, najiheshimu na napenda maendeleo. Nipo kwnye mahusiano imara, japo tupo mikoa tofauti na tupendana sana na girlfriend wangu & recently tumeanza taratibu za utambulisho nyumban japo si rasmi..hivi karibuni nimepatwa na tukio la ajabu, kuna rafiki yangu wa kike way back toka primary scul tulikuwa tunawasiliana kawaida as normal friends lakin kumbe mwenzangu alikuwa na hisia za mapenz kwngu,,alipoona simtamkii akaamua avunje ukimya, nikamwambia haiwezekan na sabab nikampa..alilia sana akaomba 2fanye kwa siri coz hata yeye ana boyfrnd bt yupo mbal bt nikabak na msimamo wngu..akaomba tuonane japo tuongee, nikakataa lakin akaforce kuja home (nlikuwa peke yang) coz alikuwa anapajua,,kafika home hana jipya, alipoona nmegoma kabsa akaanza kunfanyia fujo(sexual harassment) akavua nguo zote tufanye ngono, nikajikaza kiume nikamvalisha nguo & nikamtoa nje, too bad nlisahau funguo za gate ikabidi nirud ndan kumbe mwenzang ananfata nyuma pasi na kujua,,akaanza fujo tena & this time nlizidiwa nguvu & we had sex, unprotected sex..i was raped na mwanamke,,nlilia sana that day nikapanga safar kwnda kumwambia my girl coz hatufichan ki2 (kwnye sim nilishindwa),,ucku huo yule mwanamke akantext kuwa nikijaribu kumwacha atamwambia girlfriend wngu, cjui alichukua phone no. mda gani,,ikabid niwe mpole..then akanambia "too late" kuulza ana maana gan akawa anacheka..nlimwambia my friend lawyer akacma kesi ngumu coz tukio lilitokea hme so ngumu kuprove a rape..after 1 month nikaanza kupata symptoms za ajab, nikaenda kuchek STI (ckupima HIV) nikawa sina bt nlipata UTI,, nkafuatilia zile dalili na kugundua ni related na Acute HIV, nkaogopa sana, nikaanza kumkwepa girlfriend wang kila akipanga safar natfta excuse, nia yangu itimie 3 months...i knw knowldge z power & najua kila kitu kuhusu HIV japo si dokta, najua i can live 30 years, najua the cure is near or imepatikana bt held in disguise,berlin patient,missisipi baby(cured of HIV) bt God AM FREAKED OUT, juz imetimia 3 months naogopa kwenda kupima, ntamwambia nin girlfrnd wng kama nmeathirika, ataniacha,,i'l be alone...am not too weak to kil myself or kill anyone..nmeamua kumsameh aliyenfanyia huu uchaf nmemwachia Mung,,all my life nimeishi vizur(mbal na vishawish) only God knows haya majaribu yana maana gani,,
Nimechanganykiwa naombeni msaada wa mawazo, nmejiunga huku walau niitoe moyoni nipate relief coz naogopa kuambia watu...I've got no one to talk to kuhusu hii ishu.

Kwa asili maumbile ya mwanaume wa sawasawa sio rahisi ku-react katika mazingira uliyoelezea--anahitaji utulivu na hiyari ya hisia zake kabla ya kuthubutu kutenda!
 
Nasikia kama ni kale kamoja ni ngumu kuambukizwa ati hadi ufanye viwili hivi.
Kama ulifanya mara moja na kwa maandaliz mazuri basi ni vigumu sana kupata HIV wataalamu wanasema michubuko ndo tatizo kubwa lkn pia ukimwi unaweza kupatikana kwenye damu kanzia week mbili tangu umeupata hiyo ni kwa mujibu wa madaktari watafit wa nimr muhimbil
 
Hahaha atakwisha kwa mawazo anajipima kwa mawzo na mara nyingi ukiwa ktk mashaka huwez kufikiri neno cna bali ninao tu
 
Hallow wana JF, Naomba radhi kwa simulizi hii ndefu..
Mimi ni kijana, umri wangu ni kati ya 25-30. Ni mhitimu wa chuo kikuu. Ni msaarabu, najiheshimu na napenda maendeleo. Nipo kwnye mahusiano imara, japo tupo mikoa tofauti na tupendana sana na girlfriend wangu & recently tumeanza taratibu za utambulisho nyumban japo si rasmi..hivi karibuni nimepatwa na tukio la ajabu, kuna rafiki yangu wa kike way back toka primary scul tulikuwa tunawasiliana kawaida as normal friends lakin kumbe mwenzangu alikuwa na hisia za mapenz kwngu,,alipoona simtamkii akaamua avunje ukimya, nikamwambia haiwezekan na sabab nikampa..alilia sana akaomba 2fanye kwa siri coz hata yeye ana boyfrnd bt yupo mbal bt nikabak na msimamo wngu..akaomba tuonane japo tuongee, nikakataa lakin akaforce kuja home (nlikuwa peke yang) coz alikuwa anapajua,,kafika home hana jipya, alipoona nmegoma kabsa akaanza kunfanyia fujo(sexual harassment) akavua nguo zote tufanye ngono, nikajikaza kiume nikamvalisha nguo & nikamtoa nje, too bad nlisahau funguo za gate ikabidi nirud ndan kumbe mwenzang ananfata nyuma pasi na kujua,,akaanza fujo tena & this time nlizidiwa nguvu & we had sex, unprotected sex..i was raped na mwanamke,,nlilia sana that day nikapanga safar kwnda kumwambia my girl coz hatufichan ki2 (kwnye sim nilishindwa),,ucku huo yule mwanamke akantext kuwa nikijaribu kumwacha atamwambia girlfriend wngu, cjui alichukua phone no. mda gani,,ikabid niwe mpole..then akanambia "too late" kuulza ana maana gan akawa anacheka..nlimwambia my friend lawyer akacma kesi ngumu coz tukio lilitokea hme so ngumu kuprove a rape..after 1 month nikaanza kupata symptoms za ajab, nikaenda kuchek STI (ckupima HIV) nikawa sina bt nlipata UTI,, nkafuatilia zile dalili na kugundua ni related na Acute HIV, nkaogopa sana, nikaanza kumkwepa girlfriend wang kila akipanga safar natfta excuse, nia yangu itimie 3 months...i knw knowldge z power & najua kila kitu kuhusu HIV japo si dokta, najua i can live 30 years, najua the cure is near or imepatikana bt held in disguise,berlin patient,missisipi baby(cured of HIV) bt God AM FREAKED OUT, juz imetimia 3 months naogopa kwenda kupima, ntamwambia nin girlfrnd wng kama nmeathirika, ataniacha,,i'l be alone...am not too weak to kil myself or kill anyone..nmeamua kumsameh aliyenfanyia huu uchaf nmemwachia Mung,,all my life nimeishi vizur(mbal na vishawish) only God knows haya majaribu yana maana gani,,
Nimechanganykiwa naombeni msaada wa mawazo, nmejiunga huku walau niitoe moyoni nipate relief coz naogopa kuambia watu...I've got no one to talk to kuhusu hii ishu.

kwani unatetesi zozote za kuwa aliyekubaka ameathirika au unajihami tu?
 
Siku nyingine usitumie nguvu sana kwa mtu dhaifu kama huyo sawa bwana mdogo?
 
Pole kwa mkasa,ushauri ni kwenda kupima tu hapo.lla hilo swala la mwanaume kubakwa umetudanganya,mwanaume habakwi.Labda useme amekushawishi kufanya hilo tendo (amekutega),mwanaume akiwa katika hali ya msongo au kama hivyo ulivyokuwa katika hali ya kuforcewa kufanya ngono nazani hata dudu inaweza isisimame
 
Pole sana,hofu ndio inayokusumbua.nenda kapme ili upate uhakika wa afya yako.
 
hata wanawake wanaobakwa hutoa Majo Maji ukeni, na kinembe hudinda pia!

si kweli,ndio maana wahanga wa ubakwaji huumizwa pia ukeni sababu ya kutokuwa tayari....ukiona kuna aliyenyevuka huyo kapenda,labda alipiga kelele baada ya kuona jihogo la mwanaume limemzidi uzito akapiga kelele kabakwa
 
Kwanza kabisa kama waipenda nafsi yako ukapime.....! Ni ngumu ila hiyo ndio kweli itakayokuweka huru.
 
pole,ila nakuakikishia u mzima kabisa wasiwasi wako ndo utakuua just go 4test but trust me uko mzima
 
Thanx lots brus & sisters,,,,mwisho wa mwez wa pili i'll go for a test, niombeen tafadhal..ntawapa matokeo if its poz or neg
 
pole sana ,,,,,,,,,,,

pamoja na pole nina swali , huyo dokta aliyekupa PEP alikupatia kwa creteria gani?

Mkuu unaweza kuelimisha kdg khs hiyo PEP? nikitu gani kutokana na Tatizo la mleta mada ingemsadiaje na mwingine ikimtokea hali km ya Jamaa afanyeje kupata msaada wa hiyo PEP?,,,!
 
pole sana ,,,,,,,,,,,

pamoja na pole nina swali , huyo dokta aliyekupa PEP alikupatia kwa creteria gani?

Mkuu unaweza kuelimisha kdg khs hiyo PEP nikitu gani? kutokana na Tatizo la mleta mada ingemsadiaje na mwingine ikimtokea hali km ya Jamaa afanyeje kupata msaada wa hiyo PEP?,,,!
 
Ni vyema kwenda kupima ili kujua afya yako kuliko kuishi kwa wasiwasi.. Mungu atakusaidia
 
Mimi sikushauri ukapime au usipime...
Nachunguza mazingira yaliyopelekea kubakwa!
Ulisema alikuja nyumbani....sorry alikuwa rafiki wako wa shule ya msingi....well...akatishia kukubaka kwenye simu, ukaogopa sana ( i see...) badae akaja nyumbani mwenyewe ...akavua viatu, akaingia ndani...(nafikiri ulijifungia chumbani ukamwacha akiangalia isidingo sitting room)...akavua..ukamvalisha( umesema ukweli,ina hukumaliza ukweli wote) kisha ukamsindikiza....ndo akarudi kukubaka...glory glory glory...
 
Back
Top Bottom