Nahisi nimeambukizwa virusi vya UKIMWI

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
683
Reaction score
946
Dah, nina stress kinoma.

Nilikutana na mwanamke baada ya kama week hivi koo langu likawa kavu sana ila haliumi, hata nikila chakula sisikii maumivu. Sina dalili nyingine tena zaidi.

Je, ni moja ya dalili za maambukizi ya Virusi vya UKIMWI?
 
Aisee chief ogopa sana stress za kudhani umeambukizwa, dah nilipata maralia hapo hapo, kwenda kupima nikakutwa na typod, sijakaa sawa uzito ukaanza kushuka, hilo halijaisha nikawa nahisi homa nikajua chalii yenu hapa nimeumaliza mwendo, nikaandika uzi humu wakanishauri vema wengine wakaniongezea vitisho kupima nako naogopa.

Kubwa zaidi nikabackup mihondomolo yangu nikagundua kuna ngono zembe nishafanya kama mara tatu daaaaah weweeeeeeeeeeee.

Ila nikaja kujipa ujasiri wa kupima dah sikuamini kama kipimo kimeonyesha negative, nilifurahi na hofu kimtindo nikarudia tena kama mara tano sehemu tofauti majibu ni yale yale negative nikasema asante muumba.

Hofu ni mbaya sana.

Nilichofanya ni kukata mawasiliano yote na wanawake ambao niliona hawa sio sawa kuendelea nao.
 
Nidalili mkuu😭 dah Kuna jamaa angu tulikuwa tunaishi nae aliukwaa hivi hivi Koo kulikuwa linakauka baada ya mda likaweka vidonda 😭😭😭 sema jamaa aliapa hatatumia chochote baada ya kugundulika nasikitika tukisha mpoteza 😭😭😭😭😭
 
Daaah
 
Ngono uzembe na ulimbukeni unamaliza wengi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…