Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupima shingap tukuchangie ukapmeDaaaaah nina stress kinomwa
Nilikutana na mwanamke baada ya kama week hivi koo langu likawa kavu sana ila haliumi hata Nikila chakula sisikii maumivu
sina dalili nyingine tena zaidi
Je ni moja ya dalili za ukimwi
NakaziaAuna ukimwi ni chumvi ilizidi ikakausha koo
Akapime kutoa hofuNakazia
Aache hofu
Apime agundue nini bana, asubiri hadi akianza kukondaAkapime kutoa hofu
Tatizo lako una hofu kubwa, halafu kapimeDaaaaah nina stress kinomwa
Nilikutana na mwanamke baada ya kama week hivi koo langu likawa kavu sana ila haliumi hata Nikila chakula sisikii maumivu
sina dalili nyingine tena zaidi
Je ni moja ya dalili za ukimwi
Ubaya huoApime agundue nini bana, asubiri hadi akianza kukonda
Ili kama kaungua aanze doziApime agundue nini bana, asubiri hadi akianza kukonda
Hii kauli ina maanisha hujakutana na huyo Mwanamke bado,Nilikutana na mwanamke baada ya kama week hivi
Toka lini ukimwi ukapimwa baada ya wiki moja?Kapime mkuu,. Uondoe Hofu
DaaahNidalili mkuu😭 dah Kuna jamaa angu tulikuwa tunaishi nae aliukwaa hivi hivi Koo kulikuwa linakauka baada ya mda likaweka vidonda 😭😭😭 sema jamaa aliapa hatatumia chochote baada ya kugundulika nasikitika tukisha mpoteza 😭😭😭😭😭
Hii vipi tenaKoo chafuu tuu acha stress
Ngono uzembe na ulimbukeni unamaliza wengi...Nidalili mkuu😭 dah Kuna jamaa angu tulikuwa tunaishi nae aliukwaa hivi hivi Koo kulikuwa linakauka baada ya mda likaweka vidonda 😭😭😭 sema jamaa aliapa hatatumia chochote baada ya kugundulika nasikitika tukisha mpoteza 😭😭😭😭😭