SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Hadi nawewe best??Usiwaze mbona jf watu kibao wamewaka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi nawewe best??Usiwaze mbona jf watu kibao wamewaka tu
Sio kinywa kichafu ila hiyo ni moja ya dalili em jaribu kuwa mfuatiliaji wa hayo mambo.Sio kweli..ongea fact ..shida ni kinywa chake kichafu...
Hapana acha uoga ukiona huelw kamuone dartariDaaaaah nina stress kinomwa
Nilikutana na mwanamke baada ya kama week hivi koo langu likawa kavu sana ila haliumi hata Nikila chakula sisikii maumivu
sina dalili nyingine tena zaidi
Je ni moja ya dalili za ukimwi
Utakua ulikuwa wewe ndio unalamba koni alafu unasingizia ukimwi na mwanamkeDaaaaah nina stress kinomwa
Nilikutana na mwanamke baada ya kama week hivi koo langu likawa kavu sana ila haliumi hata Nikila chakula sisikii maumivu
sina dalili nyingine tena zaidi
Je ni moja ya dalili za ukimwi
Acha wajifunze from unpleasant experiences...Mambo ya pipi bila maganda!
Siyo mimi ni nyieHadi nawewe best??
😂 nilianza kujilaumu, yule nesi alienichukua vipimo alitoka kidogo nikabaki peke yangu na kipimo nakiona lakini kuchungulia naogopa.Mapigo ya moyo yalikua yanadunda balaa hapo 🤣🤣
Nyie mnaopenda kupima pima hakika mnachokitafuta mtakipata vere soon.
Na mimi ndo hvo hvo asubuhi na usiku mchana kama linapoa hiviAcha woga, hata mimi wiki juzi koo lilikua linauma hasa asubuhi na usiku ila lilipona lenyewe.
We jamaaa bhana🤣hebu nenda kafanye check up usiishi kwa pressure.Daaaaah nina stress kinomwa
Nilikutana na mwanamke baada ya kama week hivi koo langu likawa kavu sana ila haliumi hata Nikila chakula sisikii maumivu
sina dalili nyingine tena zaidi
Je ni moja ya dalili za ukimwi
Kimekulamba...Daaaaah nina stress kinomwa
Nilikutana na mwanamke baada ya kama week hivi koo langu likawa kavu sana ila haliumi hata Nikila chakula sisikii maumivu
sina dalili nyingine tena zaidi
Je ni moja ya dalili za ukimwi
Ukinusurika. Umesahewa dhambi zako, Uenende na amani usitende dhambi tena.Daaaaah nina stress kinomwa
Nilikutana na mwanamke baada ya kama week hivi koo langu likawa kavu sana ila haliumi hata Nikila chakula sisikii maumivu
sina dalili nyingine tena zaidi
Je ni moja ya dalili za ukimwi
Hiyo aya ya mwisho umenitisha sana babu.Hakuna mwili unaweza ku-react na kuonesha dalili za kupata VVU/UKIMWI kwa wiki moja
Mara nyingi dalili huonekana baada ya Siku 90 sio kama wewe eti Siku 7
Nikushauri tu, punguza woga
Lakini usipende kufanya ngono zembe as if hauna kesho yako
Pia tuache kupima HIV/UKIMWI na Mpenzi wako mpya mara moja Kwa Siku Moja na kuingiliana naye
Nimeona Kuna baadhi ya Ke/Me wanameza dawa Fulani(kupandisha cd4) masaa kadhaa kabla hamjaenda naye kupima, mkienda kupima utakuta mwenzio anasoma negative japo masaa kadhaa nyuma alikuwa ni muathirika 🙌
Hilo jambo lipo kabisaHiyo aya ya mwisho umenitisha sana babu.
Kupima vizuri naona ni kwa kumshtukiza mtu, ukitoa taarifa unampa nafasi ya kujiandaa.Hilo jambo lipo kabisa
Kuna dawa mtu mwenye maambukizi anakunywa inaenda kuvifanya virusi vilale hivyo ukienda kupima naye ataonekana hana maambuzi.
Anachokifanya ni kunywa dawa masaa kadhaa kabla ya nyie kwenda kupima naye, mkienda kupima unakuta ni negative. Ukitaka kumu-win ukampime bila kumpa taarifa