european black
Senior Member
- Dec 29, 2016
- 151
- 105
Hili ndilo tatizo la waswahiliMbona wakat unaenda dukan kuununua hukutuulza?
Aliwazalo mjinga ...!Mkuu toa msaada wa kujenga mkuu sio kukejeri
we jamaa si ndio jana walikuwa wanakupaisha hewani atiiWakuu msaada wenu wa kimawazo tafadhari
Juzi nilikuwa ambiance sasa bhana kwenye kucheza cheza mziki akaja msichana flan hivi akaniminya mkono halafu akatangulia mbele na kunipa ishara ya kumfata
Mm nilimpotezea lakini yule msichana akarudi tena na kunishika mkono na kunipeleka chobingo kidogo ambapo kuna kigiza giza kidogo(mule mule ndani lakini)
Sasa bhana yule msichana ndani hakuvaa cha chupi wala nini alikuwa yupo mtupu kabisa akawa ananisugulia makalio yake kwenye mbooo yangu kisha anachukua mkono wangu na kunishikisha K yake
Ila yote hayo sio kama alikuwa anafanya bure bure ,la hasha nilikuwa namnunulia bia ili azidi kunipa utamu
Sasa bhana wakuuu ,utamu uliponinogea nikaamua nimchukue yule binti ili tukamalizane nae kitandani
Bei yake alinichaji elfu 15
elfu 5 gesti ,10 ya kwake
Lakini baada ya kumaliza kufanya naye nilijuta saana yani kwa nini nilifanya vile
Roho inaaniuma yani nimenunua ukimwi kwa elfu 15 na starehe ya dakika 10 inanitesa maisha yangu yote
Msaada wa kimawazo tafadhari, nimekuwa mtu mwenye mfadhaiko mkubwa mpaka classmates wangu wanashangaa nilivyopoa kwa kuwa sio kawaida yangu na kuwaambia ukweli siwezi abadani asilani
NB:Ushauri uwe wa kujenga sio dhihaka
wananipaisha hewani kivipi?we jamaa si ndio jana walikuwa wanakupaisha hewani atii
Achana na magonjwa ya kufikirika ambayo mzungu anawahadaa wapumbavu na wajinga?
UKIMWI upo ila VVU HAKUNA. UKIMWI watu wengi wanao ila VIRUSI VYA UKIMWI HAKUNA.
Ishi kwa amani, achana na hayo mambo kuathirika.
Kama ulivyoaminishwa asili yako ni sokwe/nyani.Watu kama nyinyi ndio mnaamini pia kuwa, Global warming ni uzushi wa wazungu!
Yesu ndie tumaini langu, sitakufa Bali ntaishi niyasimulie mkuu ya Jehova. Karibu R ChugaAngalia mkuu
Usije ukaniacha mimi ukatangulia wewe
Yesu ndie tumaini langu, sitakufa Bali ntaishi niyasimulie mkuu ya Jehova. Karibu R ChugaAngalia mkuu
Usije ukaniacha mimi ukatangulia wewe
Hahahaahahahahahahwhah daaaah[emoji115] kumbe ndo zakeNijuzeni night club kali kuelekea XMASS
Maisha ya chuo raha kusoma mwisho alhamis ,ijumaa mpaka j pili tunakesha club
Napenda kushika shika makalio ya mademu na kubambiasijui kwa nini
Hivi kwa nini wanawake wakiwa wanacheza mziki lazima wachezeshe makalio yao?
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1156979/
Kwanini usiuziwe kirusi mkubwa?!