Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Vijana wadogo acheni kuparamia fani.
Wakubwa tunasevu jina la binamu ambaye wife anajua fika Ni binamu yangu wa kike Ila hawajawahi kukutana. Sasa hiyo ndio namba ya mchepuko. Unaweza hata ukachati naye usiku waif amekaa pembeni.
Au ukishindwa hivyo nunua kitochi Cha Siri, kifiche kwenye gari au ofisini.
Muonyeshe waif password ya simu yako, na Kama unakwenda grocery ya karibu iache mezani, huku ukijua ataichokonoa, ukimwachia hivyo miezi sita mingi atakua hagusi simu yako. Halafu msevu waif kwa kajina romantic au msevu kwa jina super woman. Hakikisha kadi ya benki ya NMB anajua iliko na password anaijua. Akikuomba pesa mwambie usinisumbie, chukua kadi nenda ATM mwenyewe. Usimuambie kiwango atakachochukua. Kadi ya CRDB ficha ofisini.
Hakikisha mke anahisi ana access na vitu vyako yaani akuamini 💯.
Utanishukuru ukistaafu.
 
Ngoja nikujibu hapahapa baba,umalaya wako umenichosha na nikuhskikishie nakulipiza tena ntafanya kwa kutumia hela zako maana natft starehe tuuuu hivo ntafanya na yoyoyte,mwanaume limbukeni km nn,hujifunzi kwa wazazi wako??? Nakufanyia km dada angu anavomfanyia mme wake,umenizoea wewe
Pole sana
 
Wakuu salama?

Aisee aiseee kimenuka tiyari hapa nyumbani kwangu kati yangu mimi na mama solomonii. Mimi ni mwanaume wa early 30's niko na mke na familia ya watoto kadhaa. Mimi siku zote huwa ni muumini wa faragha na uhuru binafsi hivyo huwa sitaki wife aguse simu yangu na wala mimi kuchokonoa simu yake, japokuwa yeye huwa ana mahaba sana na simu yangu kiasi pengine ndoto yake ni kuimiliki simu yangu na kuwa na access ya kila pahala yaani.

Sasa mimi kama ilivyo baadhi ya wanaume sijapoa sana niko na mamaz za hapa na pale mixer wa zamani wapya, wakupoozea, mwingine nimezaa Naye chobingo.

Kwa mantiki kwamba wife hana access na simu yangu hivyo huwa sifuti sms wala picha ama calls...za hizo mamaz ninazo mingle nazo siku moja moja kwamba kwa hofu ya kuja kukamatika. Sasa huyu mama kwa namna alivyo na mahaba ya dhati na hii simu sijui kafanyajefanyaje kaijua password ya simu.

Nikawa jana nimerudi zangu home saa 6 usiku nikaacha simu sebuleni nikaenda kulala. Bwana bwana kafukunyua kila kona kuanzia sms, WhatsApp, gallery mpaka koote yaani, naimiliki hii simu toka 2020 na huwa sifuti kitu chochote, kakukutana na balaa zitoo yaani Zito mno.

Ghafla naamshwa nasomewa risala juu ya tabia yangu ya umalaya kupitia ushahidi mujarabu alokutana nao kwa simu yangu, sikutaka kumsikiliza zaidi, kujibizana naye wala kujitetea maana kila kitu kiko wazi kabisa, kitu nimefanya ni kushuka kitandani kwa hasira na aibu kuu na kuelekea kulala chumba cha wageni mpaka sasa ndo nilipo najitafakari na usingizi umepaa mazima.

Hofu yangu kuu ni hatima ya hii ndoa na bila shaka imani ya huyu dada kwangu imepotea kabisaa na ni moja ya kovu kubwa sana limedevelope hapa nyumbani. Sijui tutaishije kwa kweli. Na hii pengine itampelekea kwenda kulipa kisasi, ambapo aweza ishia kujiumiza ama kuniumiza na mimi pia. Tulikuwa na amani humu ndani jamani ila ndo hivyo simu ishaniumbua.

Tafadhali wakurungwa mliowahi kulipitia hili hebu nipeni mwelekeo katika hili natokaje hapa.
nast girl
 
Wakuu salama?

Aisee aiseee kimenuka tiyari hapa nyumbani kwangu kati yangu mimi na mama solomonii. Mimi ni mwanaume wa early 30's niko na mke na familia ya watoto kadhaa. Mimi siku zote huwa ni muumini wa faragha na uhuru binafsi hivyo huwa sitaki wife aguse simu yangu na wala mimi kuchokonoa simu yake, japokuwa yeye huwa ana mahaba sana na simu yangu kiasi pengine ndoto yake ni kuimiliki simu yangu na kuwa na access ya kila pahala yaani.

Sasa mimi kama ilivyo baadhi ya wanaume sijapoa sana niko na mamaz za hapa na pale mixer wa zamani wapya, wakupoozea, mwingine nimezaa Naye chobingo.

Kwa mantiki kwamba wife hana access na simu yangu hivyo huwa sifuti sms wala picha ama calls...za hizo mamaz ninazo mingle nazo siku moja moja kwamba kwa hofu ya kuja kukamatika. Sasa huyu mama kwa namna alivyo na mahaba ya dhati na hii simu sijui kafanyajefanyaje kaijua password ya simu.

Nikawa jana nimerudi zangu home saa 6 usiku nikaacha simu sebuleni nikaenda kulala. Bwana bwana kafukunyua kila kona kuanzia sms, WhatsApp, gallery mpaka koote yaani, naimiliki hii simu toka 2020 na huwa sifuti kitu chochote, kakukutana na balaa zitoo yaani Zito mno.

Ghafla naamshwa nasomewa risala juu ya tabia yangu ya umalaya kupitia ushahidi mujarabu alokutana nao kwa simu yangu, sikutaka kumsikiliza zaidi, kujibizana naye wala kujitetea maana kila kitu kiko wazi kabisa, kitu nimefanya ni kushuka kitandani kwa hasira na aibu kuu na kuelekea kulala chumba cha wageni mpaka sasa ndo nilipo najitafakari na usingizi umepaa mazima.

Hofu yangu kuu ni hatima ya hii ndoa na bila shaka imani ya huyu dada kwangu imepotea kabisaa na ni moja ya kovu kubwa sana limedevelope hapa nyumbani. Sijui tutaishije kwa kweli. Na hii pengine itampelekea kwenda kulipa kisasi, ambapo aweza ishia kujiumiza ama kuniumiza na mimi pia. Tulikuwa na amani humu ndani jamani ila ndo hivyo simu ishaniumbua.

Tafadhali wakurungwa mliowahi kulipitia hili hebu nipeni mwelekeo katika hili natokaje hapa.
omba msamaha tu
 
Hapo hadi sasa jiandae kisasi atatafuta mtu amgongee ...

Ni atakuwa anagongwa gongwa hovyo
Inshort kazi kwisha hata uombe msamaha gani

Mimi simu yangu huwa na password mbili moja kufungua simu .....ya pili kufungua application kama watsapp meseji za kawaida facebook na insta... yaani hadi kwenye gallery nimeweka makufuri

So akijua ya kwanza itabid ajue ya pili kazi ambayo ni ngumu
Password zote usaficha nini?Ndoa ni kuaminiana.
 
Vijana wadogo acheni kuparamia fani.
Wakubwa tunasevu jina la binamu ambaye wife anajua fika Ni binamu yangu wa kike Ila hawajawahi kukutana. Sasa hiyo ndio namba ya mchepuko. Unaweza hata ukachati naye usiku waif amekaa pembeni.
Au ukishindwa hivyo nunua kitochi Cha Siri, kifiche kwenye gari au ofisini.
Muonyeshe waif password ya simu yako, na Kama unakwenda grocery ya karibu iache mezani, huku ukijua ataichokonoa, ukimwachia hivyo miezi sita mingi atakua hagusi simu yako. Halafu msevu waif kwa kajina romantic au msevu kwa jina super woman. Hakikisha kadi ya benki ya NMB anajua iliko na password anaijua. Akikuomba pesa mwambie usinisumbie, chukua kadi nenda ATM mwenyewe. Usimuambie kiwango atakachochukua. Kadi ya CRDB ficha ofisini.
Hakikisha mke anahisi ana access na vitu vyako yaani akuamini 💯.
Utanishukuru ukistaafu.
Nimependa hapo pa atanishukuru akistaafu.

Mi kwa kweli nazingatia wakati baada ya kustaafu sana.
Nakuelewa mno
 
Usithubutu kuomba msamaha au kukubali kuwa umefanya aliyoyasoma.Akili ya mwanamke inapenda kudanganywa,zingatia kudanganywa.
 
Wanawake hiki kitu huwa wanakera sana na ni kama wote wako hivyo, wanapenda sana kuchunguza simu, wakikutana na vitunguu humo full vilio na kukutaka ujitetee sijui uombe misamaha.

Ukiona sishiki simu yako basi achana na yangu, binafsi sipend kuchunguza simu ya mwenza wangu, na hata nikiona kitu kwenye simu yake siwezi kumuuliza nakausha.
 
Wakuu salama?

Aisee aiseee kimenuka tiyari hapa nyumbani kwangu kati yangu mimi na mama solomonii. Mimi ni mwanaume wa early 30's niko na mke na familia ya watoto kadhaa. Mimi siku zote huwa ni muumini wa faragha na uhuru binafsi hivyo huwa sitaki wife aguse simu yangu na wala mimi kuchokonoa simu yake, japokuwa yeye huwa ana mahaba sana na simu yangu kiasi pengine ndoto yake ni kuimiliki simu yangu na kuwa na access ya kila pahala yaani.

Sasa mimi kama ilivyo baadhi ya wanaume sijapoa sana niko na mamaz za hapa na pale mixer wa zamani wapya, wakupoozea, mwingine nimezaa Naye chobingo.

Kwa mantiki kwamba wife hana access na simu yangu hivyo huwa sifuti sms wala picha ama calls...za hizo mamaz ninazo mingle nazo siku moja moja kwamba kwa hofu ya kuja kukamatika. Sasa huyu mama kwa namna alivyo na mahaba ya dhati na hii simu sijui kafanyajefanyaje kaijua password ya simu.

Nikawa jana nimerudi zangu home saa 6 usiku nikaacha simu sebuleni nikaenda kulala. Bwana bwana kafukunyua kila kona kuanzia sms, WhatsApp, gallery mpaka koote yaani, naimiliki hii simu toka 2020 na huwa sifuti kitu chochote, kakukutana na balaa zitoo yaani Zito mno.

Ghafla naamshwa nasomewa risala juu ya tabia yangu ya umalaya kupitia ushahidi mujarabu alokutana nao kwa simu yangu, sikutaka kumsikiliza zaidi, kujibizana naye wala kujitetea maana kila kitu kiko wazi kabisa, kitu nimefanya ni kushuka kitandani kwa hasira na aibu kuu na kuelekea kulala chumba cha wageni mpaka sasa ndo nilipo najitafakari na usingizi umepaa mazima.

Hofu yangu kuu ni hatima ya hii ndoa na bila shaka imani ya huyu dada kwangu imepotea kabisaa na ni moja ya kovu kubwa sana limedevelope hapa nyumbani. Sijui tutaishije kwa kweli. Na hii pengine itampelekea kwenda kulipa kisasi, ambapo aweza ishia kujiumiza ama kuniumiza na mimi pia. Tulikuwa na amani humu ndani jamani ila ndo hivyo simu ishaniumbua.

Tafadhali wakurungwa mliowahi kulipitia hili hebu nipeni mwelekeo katika hili natokaje hapa.
Chapa makofi hyo kenge..kushika shika simu saa8 zausiku amekuwa mwanga..au relax fanya kama huelewi Mchape na kipande ya kanga kama wasemavyo wahenga
 
Back
Top Bottom