Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Hupendi kushare afu huoi..okeemzee wangu hakuna kitu sipendi kama kushare pusy,,nahisi ndo maana nafanya ivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hupendi kushare afu huoi..okeemzee wangu hakuna kitu sipendi kama kushare pusy,,nahisi ndo maana nafanya ivi
Sawa mkuu, AsanteMobile Tracker Free | Cell Phone Tracker App | Monitoring App for Android Smartphone
Mobile Tracker Free is a free application for monitoring & tracking SMS, MMS, Calls, Recording Calls, Locations, Pictures, Facebook, WhatsApp, Applications and more!mobile-tracker-free.com
Kwani uwa unafanye ili kumfuatilia ebu nipe kozi fupi kwanza..Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."
Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.
Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.
Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Ukisemea wapi ndio itakua sahihi?Iitakua si sahihi nikisema apa mkuu
Wasiliana na wazir Gwajima atakupa ufumbuz wa tatizo lako
Kwani uwa unafanye ili kumfuatilia ebu nipe koz
kusema ukweli mie ni muoga sana wa kusalitiwa maana mimi kusema ukweli nikiwa kwa mahusiano sjuagi kabisa kuchit,,nahisi ndo maana nafanya haya yote huenda ningekua mtu wa mambo mengi nisingekua nafanya ivi yan ningekua dont care chapa ilale...uaminifu wangu kwa kila mpenzi nayekua naye ndo unanifanya nichunguze pia uaminifu wake kwangu..Kwani uwa unafanye ili kumfuatilia ebu nipe kozi fupi kwanza..
Hii ndo target yake,, atakwambia njoo PM akuuzie hapo ndo utakapopigwa na kitu kizitoUnatumia software ipi mkuu
Ni bora ukamuajiri mpelelezi/detective/ private investigator awe anamchunguza mpenzi wako😁saw
kusema ukweli mie ni muoga sana wa kusalitiwa maana mimi kusema ukweli nikiwa kwa mahusiano sjuagi kabisa kuchit,,nahisi ndo maana nafanya haya yote huenda ningekua mtu wa mambo mengi nisingekua nafanya ivi yan ningekua dont care chapa ilale...uaminifu wangu kwa kila mpenzi nayekua naye ndo unanifanya nichunguze pia uaminifu wake kwangu..
Hauko addicted hujiamini, uko so insecureHabari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."
Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.
Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.
Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Utakuja kufa mdomo wazi kwa mshangao..!!Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."
Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.
Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.
Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Una umri gani?Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."
Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.
Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.
Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Wakati wako wa kuoa Sasa,acha kuchezea mabinti za watusaw
kusema ukweli mie ni muoga sana wa kusalitiwa maana mimi kusema ukweli nikiwa kwa mahusiano sjuagi kabisa kuchit,,nahisi ndo maana nafanya haya yote huenda ningekua mtu wa mambo mengi nisingekua nafanya ivi yan ningekua dont care chapa ilale...uaminifu wangu kwa kila mpenzi nayekua naye ndo unanifanya nichunguze pia uaminifu wake kwangu..
sawa mkuuNi bora ukamuajiri mpelelezi/detective/ private investigator awe anamchunguza mpenzi wako😁
Kiufupi mkuu una tatizo la TRUST ISSUE. Fatilia background y maisha yko ilianzaje ukaanz kutomwamini mtu. Bora umchane makavu umwamini au umpe Do ' s or Donts kuliko kum track