Nahisi nimekua addicted na huu mchezo wakuu

Nahisi nimekua addicted na huu mchezo wakuu

Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."

Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.

Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.

Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Kwani uwa unafanye ili kumfuatilia ebu nipe kozi fupi kwanza..
 
saw
Wasiliana na wazir Gwajima atakupa ufumbuz wa tatizo lako

Kwani uwa unafanye ili kumfuatilia ebu nipe koz

Kwani uwa unafanye ili kumfuatilia ebu nipe kozi fupi kwanza..
kusema ukweli mie ni muoga sana wa kusalitiwa maana mimi kusema ukweli nikiwa kwa mahusiano sjuagi kabisa kuchit,,nahisi ndo maana nafanya haya yote huenda ningekua mtu wa mambo mengi nisingekua nafanya ivi yan ningekua dont care chapa ilale...uaminifu wangu kwa kila mpenzi nayekua naye ndo unanifanya nichunguze pia uaminifu wake kwangu..
 
saw





kusema ukweli mie ni muoga sana wa kusalitiwa maana mimi kusema ukweli nikiwa kwa mahusiano sjuagi kabisa kuchit,,nahisi ndo maana nafanya haya yote huenda ningekua mtu wa mambo mengi nisingekua nafanya ivi yan ningekua dont care chapa ilale...uaminifu wangu kwa kila mpenzi nayekua naye ndo unanifanya nichunguze pia uaminifu wake kwangu..
Ni bora ukamuajiri mpelelezi/detective/ private investigator awe anamchunguza mpenzi wako😁

Kiufupi mkuu una tatizo la TRUST ISSUE. Fatilia background y maisha yko ilianzaje ukaanz kutomwamini mtu. Bora umchane makavu umwamini au umpe Do ' s or Donts kuliko kum track
 
Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."

Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.

Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.

Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Hauko addicted hujiamini, uko so insecure
 
Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."

Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.

Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.

Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Utakuja kufa mdomo wazi kwa mshangao..!!
 
Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."

Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.

Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.

Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Una umri gani?
 
saw





kusema ukweli mie ni muoga sana wa kusalitiwa maana mimi kusema ukweli nikiwa kwa mahusiano sjuagi kabisa kuchit,,nahisi ndo maana nafanya haya yote huenda ningekua mtu wa mambo mengi nisingekua nafanya ivi yan ningekua dont care chapa ilale...uaminifu wangu kwa kila mpenzi nayekua naye ndo unanifanya nichunguze pia uaminifu wake kwangu..
Wakati wako wa kuoa Sasa,acha kuchezea mabinti za watu
 
Ni bora ukamuajiri mpelelezi/detective/ private investigator awe anamchunguza mpenzi wako😁

Kiufupi mkuu una tatizo la TRUST ISSUE. Fatilia background y maisha yko ilianzaje ukaanz kutomwamini mtu. Bora umchane makavu umwamini au umpe Do ' s or Donts kuliko kum track
sawa mkuu
 
Back
Top Bottom