Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambania kombe hili kwa nguvu yote.. anaonekana yuko stressed, mliwaze mpe mapendo you'll thank me later! 😅😅😅👍🏾Hapana tajiri acha nitumie taaluma yangu kwa huyu
Pambania kombe hili kwa nguvu yote.. anaonekana yuko srressed, mliwaze mpe mapendo you'll thank me later! [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1474]
Mkosi huu... najuta kuweka maneno kwenye huu uziHili dume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkosi huu... najuta kuweka maneno kwenye huu uzi wa pelo!
Bwana mdogo mtu anajijua vipi kama kachanganyikiwa?Hapana tajiri acha nitumie taaluma yangu kwa huyu
Kwa umeshalipa karo ya watoto tayari?Nahitaji nimepatwa na ugonjwa wa akili please kindly psychologists naomba msaada wenu wa haraka sana nitawalipa pesa yoyote Ile mnayohitaji tafadhalini jamani.
Kuna muda napatwa na moods swing na kuna muda napata euphoria ndugu zangu kindly I need help wakuu hali si hali, please I need your help for while.
Thanks
Pole mkuu, mie hayo mambo ni mageni kwa upande wangu. Mie niulize Scania DC 13 ina cc ngapi and the like ndio nitakujibu. Maana hiyo OCD nikahisi labd mkuu wa maaskari wa wilaya.(Jokes)Mkuu kuna tofauti kati ya kuchamganyiwa na mental illness! Who told you that kujifahamu kwamba una ugonjwa wa akili ndiyo kuchanganyikiwa ni nani? Mkuu unapaswa kujifahamu? I'm expect on that field I know it! Jifahamu kabla mambo hayajaaribika mkuu nilikuja kugundua mimi Nina OCD baadae sana ila taratibu nilikuja kuumaliza but ugonjwa wa akili huwa hauishi mkuu
Wewe unajua maana yake?Unajua maana psychopath? 😃 😀 😄 😁
Nahitaji nimepatwa na ugonjwa wa akili please kindly psychologists naomba msaada wenu wa haraka sana nitawalipa pesa yoyote Ile mnayohitaji tafadhalini jamani.
Kuna muda napatwa na moods swing na kuna muda napata euphoria ndugu zangu kindly I need help wakuu hali si hali, please I need your help for while.
Thanks