Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mimi concern yangu ni kwamba kwa nini mtu uende kwa Daktari kisha umpangie daktari magonjwa ya kutibu badala ya kumwambia Daktari akucheki kisha akuambie tatizo?Soma umuelewe jamaa alipeleka kwa nia njema kabisa! Sasa yamemkuta mpe moyo mwaka mpya huu tuanze salama, au we mgogo?π€π€π€
Mzeee hii gari inatembea kweli?
Yaani kuna vifaa ambavyo ameandikiwa, ukichunguza ni upigaji tu....[emoji35]
Mkuu hawa mafundi wetu usipowapangia na usipokuwa makini, watabadilisha mpaka siti yako wakuwekee kigoda...Mimi concern yangu ni kwamba kwa nini mtu uende kwa Daktari kisha umpangie daktari magonjwa ya kutibu badala ya kumwambia Daktari akucheki kisha akuambie tatizo?
Naandika haya ili kusaidia watu wengine pia kuwa wanapoenda garage wasiwapangie mafundi kubadili spea bali waache mafundi wafanye kazi yao inayowaingizia kula kila siku ya kucheki matatizo ya gari kisha mafundi watasema wenyewe tatizo ni nini.
Halafu bei ya zote 4 ni Tshs60,000Nimedata kukuta Coil spring zote nne inabidi zibadilishwe. Seriously?
Ushauri mzuri sana kabisa huu, yaani break shoo na break pads tena zinahusikajae hapo kwenye gari kupiga kelele.Yaani hao ni wapigaji tu...
Na ukikaa nao vibaya watakupiga sana...
Fundi makini angekagua gari mpaka akutane na kifaa kibovu...
Hao mafundi wapumbavu kabisa[emoji35][emoji35]..ni wavivu wa kutafuta ugonjwa ulipo...wao wanarahisisha wanataka wafanye replacement ya vifaa vyote maana wanajua miongoni mwa hivyo, kimojawapo au viwili ndiyo vibovu......fundi makini angeendesha gari na angejua ugonjwa uko wapi....Pumbavu sana..[emoji35][emoji35]
Sasa kwa mfano, brake shoes zina uhusiano gani na gari kupiga kelele kwenye njia mbovu..?
wahuni hao..
Nakushauri tafuta mafundi wanaoleweka
Na kifaa chochote utakachotoa kwenye gari lako, usikiache garage....kuna vifaa vingi tu mafundi wanabadilisha vikiwa bado ni vizima kabisa...
Break pad za IST Elf 65?? Kudadeki
Shock up 2 za nyuma 140?
Nakazia ... zingatia huu ushauri binafsi nimeona unafaaAhsante kaka