Noel france JF-Expert Member Joined Oct 8, 2012 Posts 1,104 Reaction score 917 Jan 3, 2025 Thread starter #101 FUSO said: Kama umeumia sana tangulia mahakamani ili yakamwagike na mengine zaidi ya hayo. Click to expand... Mkuu Kuna shida?
FUSO said: Kama umeumia sana tangulia mahakamani ili yakamwagike na mengine zaidi ya hayo. Click to expand... Mkuu Kuna shida?
C Chief Mwigendya Senior Member Joined Nov 28, 2024 Posts 172 Reaction score 136 Jan 3, 2025 #102 Damu ya mtu nzito sana , Kila kitu kitajulikana huu ndio mwanzo naona.
Mpaji Mungu JF-Expert Member Joined Apr 24, 2023 Posts 13,544 Reaction score 43,537 Jan 3, 2025 #103 Yoda said: Waje FBI na Scotland Yard kufanya uchunguzi huru. Click to expand... Thubutu! Hawana hiyo jeuri
Yoda said: Waje FBI na Scotland Yard kufanya uchunguzi huru. Click to expand... Thubutu! Hawana hiyo jeuri
Noel france JF-Expert Member Joined Oct 8, 2012 Posts 1,104 Reaction score 917 Jan 4, 2025 Thread starter #104 Chief Mwigendya said: Damu ya mtu nzito sana , Kila kitu kitajulikana huu ndio mwanzo naona. Click to expand... Ni kweli kabisa mkuu
Chief Mwigendya said: Damu ya mtu nzito sana , Kila kitu kitajulikana huu ndio mwanzo naona. Click to expand... Ni kweli kabisa mkuu
Kanye2016 JF-Expert Member Joined Jun 4, 2016 Posts 2,904 Reaction score 3,006 Jan 6, 2025 #105 Makaburi yafichuliwe tu. Kipindi hichi ni kama tupo mwaka 2014 kwenye hekaheka za uchaguzi mkuu. Mambo ni fire 🔥 sana
Makaburi yafichuliwe tu. Kipindi hichi ni kama tupo mwaka 2014 kwenye hekaheka za uchaguzi mkuu. Mambo ni fire 🔥 sana