Mengi anatoa msaada kwa kujionyesha mbele ya jamii kam show off
So what?
Mengi anatoa msaada kwa kujionyesha mbele ya jamii kam show off
We unaonaje?Au ulitaka atumie utajiri wake kununua nyumba za serikali.
Nyumba za serikali au nyumba zilizodhulumiwa wakati wa udhalim?
Usijitoe ufahamu Magufurii ndo aliyezitoa izo nyumba kwa bei za kutupwa na kumuuzia yule hawara yake wa udism kwa Tsh. 176,000/= huku huyo binti si mtumishi wa serikali...maaaanina we bibi kizeeNyumba za serikali au nyumba zilizodhulumiwa wakati wa udhalim?
...wabongo bhana..!!!? mtu akijifungia na mihela yàke anakula pekeyake anaonekana mbinafsi, akitoa msaada anajionyesha. Tuache jeuri ya kimaskini mwache ajionyeshe wakati maskini wanafaidika kuliko wanaojionyesha kwa kununua magari ya kifahari ....
Mengi anatoa msaada kwa kujionyesha mbele ya jamii kam show off
Mengi ni dalali tuu wa ardhi,Tanzanite one sii yake ni ya Ami Mpungwe mwenye multichoise,nbc tanzania.Mengi ni maneno tuu hana biashara sustainable zaidi ya bonite na itv vitu ambavyo bakhresa anavyo plus meli,boats,trucks viwanda msumbiji,rwanda,burundi,malawi,uganda.Forbes huwaapisha Mengi na Rostam tuuHabarini
Every year huyu jamaa anatoa misaada ambayo ina worth millions of dollars, tena ana kampuni ya uchimbaji Tanzanite (Tanzanite One)
Few years ago dewji alikuwa na networth ya dollar million 500, baada ya kuchukua mkopo leo hii ni billionaire within 5 years, je kwa mtu kama Mengi Au bakhressa asiwe billionaire.
Mm nahis watu kama akina bakhressa na Mengi ni U$ dollars billionaire sema 2 hawaja expose utajiri wao wote kwenye Forbes.
Au wadau mwaonaje