okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
Habarini
Every year huyu jamaa anatoa misaada ambayo ina worth millions of dollars, tena ana kampuni ya uchimbaji Tanzanite (Tanzanite One)
Few years ago dewji alikuwa na networth ya dollar million 500, baada ya kuchukua mkopo leo hii ni billionaire within 5 years, je kwa mtu kama Mengi Au bakhressa asiwe billionaire.
Mm nahis watu kama akina bakhressa na Mengi ni U$ dollars billionaire sema 2 hawaja expose utajiri wao wote kwenye Forbes.
Au wadau mwaonaje
Every year huyu jamaa anatoa misaada ambayo ina worth millions of dollars, tena ana kampuni ya uchimbaji Tanzanite (Tanzanite One)
Few years ago dewji alikuwa na networth ya dollar million 500, baada ya kuchukua mkopo leo hii ni billionaire within 5 years, je kwa mtu kama Mengi Au bakhressa asiwe billionaire.
Mm nahis watu kama akina bakhressa na Mengi ni U$ dollars billionaire sema 2 hawaja expose utajiri wao wote kwenye Forbes.
Au wadau mwaonaje