Nahisi sina bahati na biashara

Gem tafu....jamaa wanamkataa lkn yy hajui kama wamemkataa inabidi atulie ausome mchezo kwanzq apeleleze atapata majibu. Biashara yyte kama huijui usikurupuke jifanye fala.....angeingia hata kwenye kuomba kibarua cha kutumwa kuvua ili azisome ABCD
Aombe hata kibarua cha kukausha dagaa ajuane na wavuvi
 
Pole sana yote kheri! Siku yako yajaπŸ™πŸΎ
 
Wiki mbili tu una lialia, Mimi nilifanya biashara miezi 9 hakuna ninachouza Cha maaana, zaidi nalipa Kodi laki mbili kwa mwezi. Nashukuru mungu sahizi biashara imechangamkaaaa nauza hadi 700k +kwa siku,
Huwezi kufanikiwa hadi upitie kwanza kwenye tanuru la moto!
 
Kwanini uliingia huko kwenye samaki na sio pengine ? Lazima kuna kitu kilikuvutia huko; cha maana anza mdogo mdogo kabla haujaanza kusafirisha labda uza locally (ila kama una soko; hilo ndio kila kitu jaribu kutunza soko, hata kama unatumiwa mpaka Mwanza au Unalangua Mwanza) as time goes on utaendelea kupata ujuzi na suppliers wazuri...

Unless kama tatizo biashara ipo saturated na wadau mpo wengi margins ndogo hence mnagawana umasikini (kama ndivyo basi kumbuka retreating is not surrendering)
 
Duh basi tatizo ushajua liko wapi...usikute hata hela ya sukari ulikuwa humtumii mama yako unategemea baraka utazipata wapi....hata simu usikute ulikuwa hupigi..anyway pole pambana
 
Mkuu kuna biashara nyingine huoni mwanga kabisa, ahsante kwa e
Duh basi tatizo ushajua liko wapi...usikute hata hela ya sukari ulikuwa humtumii mama yako unategemea baraka utazipata wapi....hata simu usikute ulikuwa hupigi..anyway pole pambana
Sio kweli usemalo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…