Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Kumbe hata visiwani samaki kupata hadi connection?,🤔lakini si nilisikia ziwa limefungwa wiki mbili,au hujui boss?😅😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hata visiwani samaki kupata hadi connection?,🤔lakini si nilisikia ziwa limefungwa wiki mbili,au hujui boss?😅😅😅😅
Aombe hata kibarua cha kukausha dagaa ajuane na wavuviGem tafu....jamaa wanamkataa lkn yy hajui kama wamemkataa inabidi atulie ausome mchezo kwanzq apeleleze atapata majibu. Biashara yyte kama huijui usikurupuke jifanye fala.....angeingia hata kwenye kuomba kibarua cha kutumwa kuvua ili azisome ABCD
Mtaji bila watenda kazi ni msala mkuuKuwa na mtaji sio kigezo cha kufanikiwa kwenye biashara, hizi biashara zina wenyewe.
Linafungwa kwa wavuvi wa dagaa tuu mkuu sio samaki.Kumbe hata visiwani samaki kupata hadi connection?,🤔lakini si nilisikia ziwa limefungwa wiki mbili,au hujui boss?
Pole sana yote kheri! Siku yako yaja🙏🏾Habari wakuu, nipo kwenye kisiwa cha maisome kilichopo Sengerema, nina mwezi sasa nafanya biashara ya uchuuzi wa samaki aina ya sato natoa huku napeleka Mwanza ila faida sipati kwasababu nilikuwa nachukua kwa walanguzi sio direct kutoka kwa wavuvi so faida ilikuwa inaishia kwenye malazi na usafiri, ndio nikashauriwa nitafute wavuvi niwadhamini nyavu, pumba na kuwakodishia mitumbwi ili waniuzie samaki kwa bei rahisi kidogo.
Aisee nina week zaidi ya mbili hapa wavuvi kuwapata imekuwa mziki, wote wako chini ya watu nazidi kula mtaji tuu nishaanza kukata na tamaa, kuna wavuvi nilifanyiwa connection kutoka kisiwa kingine nikaongea nao vizuri tuu waje nikawapa na offer nzuri but toka juzi wananiambia wameshakuja wapo ila nikiwaambia tuonane tuongee wananiambia wanakuja, muda unazidi kwenda hakuna ninachofanya yaani basi tuu haya maisha hayana maana, mtanisamehe kwa uandishi m'bovu, nipo confused.
Una maanisha nini hasa?Kua na mtaji sio kigezo cha kufanikiwa kwenye biashara hizi biashara zina wenyewe.
Anunue life jacket kwani tsh ngapiNi kweli lakini kuvua bila kujua hata kuogelea inahitaji moyo wa chuma, likitokea la kutokea ndio basi tena.
Twende mkuu kama uko seriousTwende tukalime
Kilimo bila mtaji wa kueleweka ni bettingTwende tukalime
Hii imeenda🤣🤣Ni kweli lakini kuvua bila kujua hata kuogelea inahitaji moyo wa chuma, likitokea la kutokea ndio basi tena.
Duh basi tatizo ushajua liko wapi...usikute hata hela ya sukari ulikuwa humtumii mama yako unategemea baraka utazipata wapi....hata simu usikute ulikuwa hupigi..anyway pole pambanaMkuu nilikua dar nina biashara flani ikafa nikaamua kuingia mkoani kusaka life nikaanzia tunduma mambo sikuyaelewa nikaenda mgodini chunya huko mambo sikuyaelewa pia nikaamua kuja mwanza nikaanza hii biashara nayenyewe ndio hivi yani acha tuu, toka dar watu wananiambia niende home nipate baraka ndio nirudi kupambana itabidi niende mkuu coz mara ya mwisho home nimeenda 2015.
AiseeMkuu watanzania tuna roho mbaya sana yani mtu anaconnection ya wavuvi visiwa tofauti unamuomba akuunganishe nao uwalete anakukazia, mkikutana utasikia vipi mzee bado hujaanza kukusanya mzigo? Yani full unafiki na roho mbaya.
Hao walanguzi huwa wanawatishia wavuvi kuwaroga km watamkimbia na kwenda kwa watu wengineKuna walanguzi wabobezi wa miaka mingi wamewashikilia wavuvi wote plus uchawi ndio shida kabisa.
Mkuu kuna biashara nyingine huoni mwanga kabisa, ahsante kwa eWiki mbili tu una lialia, Mimi nilifanya biashara miezi 9 hakuna ninachouza Cha maaana, zaidi nalipa Kodi laki mbili kwa mwezi. Nashukuru mungu sahizi biashara imechangamkaaaa nauza hadi 700k +kwa siku,
Huwezi kufanikiwa hadi upitie kwanza kwenye tanuru la moto!
Sio kweli usemalo mkuu.Duh basi tatizo ushajua liko wapi...usikute hata hela ya sukari ulikuwa humtumii mama yako unategemea baraka utazipata wapi....hata simu usikute ulikuwa hupigi..anyway pole pambana