Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 583
- 590
Habari wakuu,
Mimi nimefuatilia kwa muda idadi ya watu wanaopotea nchini nikabaini mambo matatu. Kuna masuala inabidi Wizara ya Mambo ya ndani isimame na kuanzisha kitengo ambacho kitasafisha jeshi ka polisi.
Jamani watu wanapotea kwasababu 3 tu
1. Ushirikina, tunaingia mwaka uchaguzi nadhani mnaelewa (hii ni kwa watoto)
2. Utapeli, jamani Tanzania mtu akikutapeli hutopata msaada kokote. Sio Polisi wala Mahakama, inabidi ili umshtaki ni mpaka apatikane. Na polisi hakusaidi kumkata tapeli sio kitengo chao.
Sasa kwa bahati mbaya watu wakitapeliwa huwa wanatumia njia zao binafsi kama kuajiri majambazi wakukamate na wadeal na wewe, jamaa wawili wamepotea nawafahamu na shida ni hiyo maana ata me walijatibu kunitapeli nikastuka.
Na kesi za utapeli ni nyigi sababu maisha yamekuwa magumu. Na ili tupate watu ku-invest kweli Tanzania inabidi wizara ya mambo ya ndani ifungue kitengo kupambana na matapeli. Ni wengi mno!
3. Jazba! Tujitahidi sana kwenye mitandao tusiwakejeli watu ovyo, kuna watu wengine humu ni majambazi 🤣 nyie mnatukanana tu mwenzako kuua ni kama kuwashanl kibiriti. Kuna vijana nawajua wawili wamedhuruka mtandaoni twitter sababu ya kutukanana na watu mtandaoni, mmoja ni mdada walimuua kabisa, mwingine kanusurika kuuliwa juzi tu, ukifuatilia unaona ni maugomvi ya mtandaoni.
Kupunguza haya matukio wizara ya mambo ya ndani iunde kikundi athari zake ni Polisi wenu hawaaminiki lakini ukweli mnaujua, serikali haijawahi hitaji kumteka mtu eti kisa katukana, hao ni watu binafsi walio na hasira na mhusika.
Pia soma:
Mimi nimefuatilia kwa muda idadi ya watu wanaopotea nchini nikabaini mambo matatu. Kuna masuala inabidi Wizara ya Mambo ya ndani isimame na kuanzisha kitengo ambacho kitasafisha jeshi ka polisi.
Jamani watu wanapotea kwasababu 3 tu
1. Ushirikina, tunaingia mwaka uchaguzi nadhani mnaelewa (hii ni kwa watoto)
2. Utapeli, jamani Tanzania mtu akikutapeli hutopata msaada kokote. Sio Polisi wala Mahakama, inabidi ili umshtaki ni mpaka apatikane. Na polisi hakusaidi kumkata tapeli sio kitengo chao.
Sasa kwa bahati mbaya watu wakitapeliwa huwa wanatumia njia zao binafsi kama kuajiri majambazi wakukamate na wadeal na wewe, jamaa wawili wamepotea nawafahamu na shida ni hiyo maana ata me walijatibu kunitapeli nikastuka.
Na kesi za utapeli ni nyigi sababu maisha yamekuwa magumu. Na ili tupate watu ku-invest kweli Tanzania inabidi wizara ya mambo ya ndani ifungue kitengo kupambana na matapeli. Ni wengi mno!
3. Jazba! Tujitahidi sana kwenye mitandao tusiwakejeli watu ovyo, kuna watu wengine humu ni majambazi 🤣 nyie mnatukanana tu mwenzako kuua ni kama kuwashanl kibiriti. Kuna vijana nawajua wawili wamedhuruka mtandaoni twitter sababu ya kutukanana na watu mtandaoni, mmoja ni mdada walimuua kabisa, mwingine kanusurika kuuliwa juzi tu, ukifuatilia unaona ni maugomvi ya mtandaoni.
Kupunguza haya matukio wizara ya mambo ya ndani iunde kikundi athari zake ni Polisi wenu hawaaminiki lakini ukweli mnaujua, serikali haijawahi hitaji kumteka mtu eti kisa katukana, hao ni watu binafsi walio na hasira na mhusika.
Pia soma: