Nahisi Watu kupotea ovyo inatokana na Sababu 3 tu!

Nahisi Watu kupotea ovyo inatokana na Sababu 3 tu!

Sababu kubwa ni hiyo ya utapeli. Hili suala limeota mizizi. Kwa mfano kuna chama kilichangisha watanzania mamilioni ya fedha kwenye kampeni yao ya JOIN THE CHAIN ila hadi leo haijulikani hela zilipoenda. Chief Odemba alishajitahidi kuuliza karibu viongozi wote wa hicho chama karibu wote wanasema hawajui na hawahusiki na mambo ya fedha. Kiongozi mmoja aliyetambulika kwa jina la Lema aliishia kumwita Odemba kuwa ni mkuda.
 
Habari wakuu,

Mimi nimefuatilia kwa muda idadi ya watu wanaopotea nchini nikabaini mambo matatu. Kuna masuala inabidi Wizara ya Mambo ya ndani isimame na kuanzisha kitengo ambacho kitasafisha jeshi ka polisi.

Jamani watu wanapotea kwasababu 3 tu

1. Ushirikina, tunaingia mwaka uchaguzi nadhani mnaelewa (hii ni kwa watoto)

2. Utapeli, jamani Tanzania mtu akikutapeli hutopata msaada kokote. Sio Polisi wala Mahakama, inabidi ili umshtaki ni mpaka apatikane. Na polisi hakusaidi kumkata tapeli sio kitengo chao.

Sasa kwa bahati mbaya watu wakitapeliwa huwa wanatumia njia zao binafsi kama kuajiri majambazi wakukamate na wadeal na wewe, jamaa wawili wamepotea nawafahamu na shida ni hiyo maana ata me walijatibu kunitapeli nikastuka.

Na kesi za utapeli ni nyigi sababu maisha yamekuwa magumu. Na ili tupate watu ku-invest kweli Tanzania inabidi wizara ya mambo ya ndani ifungue kitengo kupambana na matapeli. Ni wengi mno!

3. Jazba! Tujitahidi sana kwenye mitandao tusiwakejeli watu ovyo, kuna watu wengine humu ni majambazi 🤣 nyie mnatukanana tu mwenzako kuua ni kama kuwashanl kibiriti. Kuna vijana nawajua wawili wamedhuruka mtandaoni twitter sababu ya kutukanana na watu mtandaoni, mmoja ni mdada walimuua kabisa, mwingine kanusurika kuuliwa juzi tu, ukifuatilia unaona ni maugomvi ya mtandaoni.

Kupunguza haya matukio wizara ya mambo ya ndani iunde kikundi athari zake ni Polisi wenu hawaaminiki lakini ukweli mnaujua, serikali haijawahi hitaji kumteka mtu eti kisa katukana, hao ni watu binafsi walio na hasira na mhusika.

Pia soma:
Ww kwenye hizo sababu zao kuna vijana wawili tu unawajua, mbona huna mfano wa vijana wanne au watano? Ni hivi, kuwa vyombo vya dola vinahusika kuteka watu hilo wala halina mjadala, na lilipaswa kuwa namba moja kwenye sababu zako. Hivyo tafuta wasiojua lolote uwape hizi sababu zako za kubumba.
 
Habari wakuu,

Mimi nimefuatilia kwa muda idadi ya watu wanaopotea nchini nikabaini mambo matatu. Kuna masuala inabidi Wizara ya Mambo ya ndani isimame na kuanzisha kitengo ambacho kitasafisha jeshi ka polisi.

Jamani watu wanapotea kwasababu 3 tu

1. Ushirikina, tunaingia mwaka uchaguzi nadhani mnaelewa (hii ni kwa watoto)

2. Utapeli, jamani Tanzania mtu akikutapeli hutopata msaada kokote. Sio Polisi wala Mahakama, inabidi ili umshtaki ni mpaka apatikane. Na polisi hakusaidi kumkata tapeli sio kitengo chao.

Sasa kwa bahati mbaya watu wakitapeliwa huwa wanatumia njia zao binafsi kama kuajiri majambazi wakukamate na wadeal na wewe, jamaa wawili wamepotea nawafahamu na shida ni hiyo maana ata me walijatibu kunitapeli nikastuka.

Na kesi za utapeli ni nyigi sababu maisha yamekuwa magumu. Na ili tupate watu ku-invest kweli Tanzania inabidi wizara ya mambo ya ndani ifungue kitengo kupambana na matapeli. Ni wengi mno!

3. Jazba! Tujitahidi sana kwenye mitandao tusiwakejeli watu ovyo, kuna watu wengine humu ni majambazi 🤣 nyie mnatukanana tu mwenzako kuua ni kama kuwashanl kibiriti. Kuna vijana nawajua wawili wamedhuruka mtandaoni twitter sababu ya kutukanana na watu mtandaoni, mmoja ni mdada walimuua kabisa, mwingine kanusurika kuuliwa juzi tu, ukifuatilia unaona ni maugomvi ya mtandaoni.

Kupunguza haya matukio wizara ya mambo ya ndani iunde kikundi athari zake ni Polisi wenu hawaaminiki lakini ukweli mnaujua, serikali haijawahi hitaji kumteka mtu eti kisa katukana, hao ni watu binafsi walio na hasira na mhusika.

Pia soma:
Utetezi mdogo sana,ama nawe ni mhusikaa?
 
Habari wakuu,

Mimi nimefuatilia kwa muda idadi ya watu wanaopotea nchini nikabaini mambo matatu. Kuna masuala inabidi Wizara ya Mambo ya ndani isimame na kuanzisha kitengo ambacho kitasafisha jeshi ka polisi.

Jamani watu wanapotea kwasababu 3 tu

1. Ushirikina, tunaingia mwaka uchaguzi nadhani mnaelewa (hii ni kwa watoto)

2. Utapeli, jamani Tanzania mtu akikutapeli hutopata msaada kokote. Sio Polisi wala Mahakama, inabidi ili umshtaki ni mpaka apatikane. Na polisi hakusaidi kumkata tapeli sio kitengo chao.

Sasa kwa bahati mbaya watu wakitapeliwa huwa wanatumia njia zao binafsi kama kuajiri majambazi wakukamate na wadeal na wewe, jamaa wawili wamepotea nawafahamu na shida ni hiyo maana ata me walijatibu kunitapeli nikastuka.

Na kesi za utapeli ni nyigi sababu maisha yamekuwa magumu. Na ili tupate watu ku-invest kweli Tanzania inabidi wizara ya mambo ya ndani ifungue kitengo kupambana na matapeli. Ni wengi mno!

3. Jazba! Tujitahidi sana kwenye mitandao tusiwakejeli watu ovyo, kuna watu wengine humu ni majambazi 🤣 nyie mnatukanana tu mwenzako kuua ni kama kuwashanl kibiriti. Kuna vijana nawajua wawili wamedhuruka mtandaoni twitter sababu ya kutukanana na watu mtandaoni, mmoja ni mdada walimuua kabisa, mwingine kanusurika kuuliwa juzi tu, ukifuatilia unaona ni maugomvi ya mtandaoni.

Kupunguza haya matukio wizara ya mambo ya ndani iunde kikundi athari zake ni Polisi wenu hawaaminiki lakini ukweli mnaujua, serikali haijawahi hitaji kumteka mtu eti kisa katukana, hao ni watu binafsi walio na hasira na mhusika.

Pia soma:
Kuna mwandishi mmoja wa Habari anaitwa BALILE D. katika malumbano ya hoja pale ITV aliwahi kusema ktk serikali ya awamu ya tano ya JP Magufuli utekaji na watu kupotea viliwatesa watu na serikali ya Magufuli ilihusika,na akaendelea kusema kuwa mama SAMIA ameupiga mwingi maana sasa watanzania wako kwenye mikono salama hakuna utekaji,hakuna watu kupotea tena kama ilivyokuwa kwenye serikali ya Magufuli.Kama huyu ndugu yetu Bwana Deogratias BALILE angekuwa anasikia matukio haya naamin angetusaidia sana kujua haya ya utekaji na watu kupotea yametoka wapi katika awamu ambayo mama yake na D.Balile ameupiga mwingi.NB.Tukialikwa kwenye platform za mazungumzo tuwe tunaweka akina ya maneno itatulinda mbeleni.
 
Toka Peter Msigwa kununuliwa CCM matukio ya kutekwa na kupotezwa viongozi wa Chadema yameongezeka sana.
Na ni Msigwa huyu aliyewaingiza chaka Polisi hadi wakatoa tamko la uongo kuwa Chadema wanapanga kwenda kuvamia vituo vya Polisi. Msigwa ni mtu wa hovyo sana yuko tayari kusema lolote baya kuhusu Chadema ili aendelee kuaminiwa na mabwana zake waliomnunua kwa $500,000.
 
Jamaa ni mwehu sana, kama hajalipwa na watekaji kuanzisha huu uzi, basi jamaa ni mwehu mara mbili.
Jamaa ni mwehu sana, kama hajalipwa na watekaji kuanzisha huu uzi, basi jamaa ni mwehu mara mbili.
IMG_7494.jpeg

IMG_7495.jpeg

Sababu ni zile zile, ushirikina, visasi na utapeli. Nimekaa paleee mtakuja kunieleza humu humu kwenye hii thread
 
Back
Top Bottom