Nahisi wizi kwenye MB za intaneti

Nahisi wizi kwenye MB za intaneti

Mpuretamu

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
1,376
Reaction score
2,285
Huwa natumia sana mtandao wa Tigo. Leo asubuhi kama sa nne hivi nikanunua kifurushi cha intanet GB 1 ( huwa napata pia dk 30 kupiga mitandao yote).

Cha kushangaza/kusikitisha mda mfupi uliopita naangalia salio la kifurushi hiki, nakuta MB 800 zimeyoyoma. Sijaangalia hata video moja.

Kipindi cha nyuma, kifurushi kama hicho nlikuwa nakaa nacho hadi siku nne. Kwa kasi ya namna hiki kifurushi kinavyotembea, sa kumi ntakuwa naingia tena sokoni kununua kifurushi kingine. Hii inauma sana.

Itoshe tu kusema kuwa, vita vya Urusi vimeleta balaa kubwa. Kumekuwa na uhaba hadi wa intanet kiasi kwamba hii kidogo iliyopo inaenda kwa kasi kubwa sana.

Tuendelee kuhesabiwa kwa ustawi wa wananchi (wenye nchi?)
 
Kiuhalisia ulipewa mb 300 na sio gb kama walivyokuandikia.
 
Kwa mujibu wa Airtel ukitumia sms 1 kati ya 25 unakuwa umetumia asilimia 75 ya sms 25 [emoji1786][emoji1786] nilijiunga Mb 500 zikaisha ndani ya robo saa na hapo nilikuwa naperuzi JF tu
20220825_150545.jpg
 
Simu zetu zenyewe zimekuwa ndo zinatuibia MB zetu, maana waziri alituaminisha hivyo
 
Back
Top Bottom