Nahitaj ajira au kibarua au kazi

Nahitaj ajira au kibarua au kazi

Anastasia21

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2023
Posts
1,056
Reaction score
2,118
Habari Wana jf mm ni kijana mwenye umri wa miaka 23(ke) nahitaj ajira ambazo zipo au kwa wale wanaohitaj wafanyakazi kazi yoyote nafanya na elimu ya form 4 tusaidiane ntashukuru kwa muajir ikifanikiwa
No;0750302068
 
Habari Wana jf mm ni kijana mwenye umri wa miaka 23(ke) nahitaj ajira ambazo zipo au kwa wale wanaohitaj wafanyakazi kazi yoyote nafanya na elimu ya form 4 tusaidiane ntashukuru kwa muajir ikifanikiwa
No;0750302068
Nenda kalime nyanya au pillipili kama siyo kufuga lau kuku. Ajira wakati mwingine ni utumwa hasa hizi ndogo ndogo.
 
Back
Top Bottom