Nahitaj mume!

Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

Duh! Wilaya gani hiyo iliyokosa exposure lol
 
unahitaj mwanamme wa sifa zipi? coz hata 4m2 wapo wanaume, au hata awe kichaa ilimradi umepata mme? funguka upate mme bora bt ka ndo hivo utapata magumegume.

Mkristu,(hofu ya Mungu ndani yake)mwenye shughul halali yenye kuingiza kipato(employed/not employed)umri 30 yrs n above,mwenye kujitambua.elim kuanzia dploma/form 6 n abov mi ni graduate so tsiachane kivle etc.
 
Yaani ishu wala sio wilaya, hata sie humu Dsm exposed spouse hakuna kabisaaaa!!!!!!!!!!! Nakuombea upate umpendae maana fazaiko la moyo si mchezo!

umeona eeh!fazaiko la moyo noma lara.
 
Yaani ishu wala sio wilaya, hata sie humu Dsm exposed spouse hakuna kabisaaaa!!!!!!!!!!! Nakuombea upate umpendae maana fazaiko la moyo si mchezo!

We Lara acha izo. What kind of exposure are u talkin' abt
? It cud be ur problem or ...u must be hangin' out at the wrong places with the wrong pipo. Usituhabishe vidume wa mjini
 
Mkristu,(hofu ya Mungu ndani yake)mwenye shughul halali yenye kuingiza kipato(employed/not employed)umri 30 yrs n above,mwenye kujitambua.elim kuanzia dploma/form 6 n abov mi ni graduate so tsiachane kivle etc.

sasa itakuaje tena mi na miaka 28 vigezo vingine vyote ninavyo
 
ajira kazi kweli nwamekutupa wapi poa mikakati muhimu utatoka tu huko
 
toa profile dada na useme unahitaji mtu wa aina gani,utauziwa mche wa sabuni badala ya simu shauriyako
 
If ur serious jaribu kunichek kwa hii namba 0752796133. Tuone kama tutafikia muafaka!
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

Nimegundua unatafuta mwanaume kwa ajili ya exposure tu na si vinginevyo maana unaonekana umepungukiwa na exposure tu. POLE SANA
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

kama unafatilia mada humu jf mtafute Mrembo by Nature akupe mafuta ya ubuyu upake papuchi iwe na mvuto naimani atake kupata hatokukimbia tena na itakua tiket ya ndoa
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

Niko Tayari, ni PM.
 
Yaani ishu wala sio wilaya, hata sie humu Dsm exposed spouse hakuna kabisaaaa!!!!!!!!!!! Nakuombea upate umpendae maana fazaiko la moyo si mchezo!

...usimtishe mtoto bhanaaa...
 
umeona eeh!fazaiko la moyo noma lara.
... usiogope mwaya,kama vipi vua nguo kabisa ili usigeuke nyuma,maana nilisikia waswahili wanasema maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge hata kama ni ya moto sana au ya baridi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…