Nahitaj mume!

Umeshawahi ku do mara ngapi naomba uzoefu wako
 
kwa hiyo unaamini humu ndo kuna wenye exposure na mume mwema anaweza kupatatikana humu JF? Kama majina yao tu hawayaweki wazi tabia zao itakuwaje?

Nikutakie kila la heri watakuja very soon

Duh, hii burudaaan
 
Hongera dada, kila la heri. Naongezea, " Unahitaji mume bora na wala si bora mume".
 
Kama upo serious im above 34

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Toa cv zako hapa vidume wachangamke,we unadhani kuhitaji mume inatosha??nani anapenda mizigo siku hizi??,yani una miaka above 25 bado uko kwenu na husomi huna kazi,hujishughulishi,!afu unataka mume ukale na kulala??,siku hiz cv bana .,,mume mwalim mke nesi maisha yanasonga,,
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

goood goood
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…